Chato: Kijiji kilichokaribia kuwa makao makuu ya mkoa-2

Chato: Kijiji kilichokaribia kuwa makao makuu ya mkoa-2

I am the state. Kitabu kizuri cha kujifunza madhara halisi ya ukosefu wa utawala bora.
U4= 1. Uthubutu 2. Ushupavu 3. Ubinafsi 4. Ukabila
Hakika Magufuli alikuwa janga la nchi hii.
 
Sawa Tuendelee kuaainisha hasara, daraja la Kijazi-Ubungo, stand ya Magufuli mbezi, upanuzi wa barabara hadi kibaha, ujenzi na uhamiaji makao makuu dodoma
Ukigusia upanuzi wa barabara mbezi-kibaha unaibua maumivu tena[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]pale ndipo mahufuli alipoonyesha dhahiri kua na roho ya kishetani,kidikteta, kiuuaji.
Alivyunja nyumba za watu bila huruma.
Palitokea vifo,vilema watati wa zoezi hilo na hata hakuon huruma.
Lengo kuu lilikuwa kuwaadhibu wale jamaa zetu aliodai kuwaadabisha

Sii wengine bali watu toka KASKAZI.
Alitenda ushetani wa ki lucipher
 
On
Sawa Tuendelee kuaainisha hasara, daraja la Kijazi-Ubungo, stand ya Magufuli mbezi, upanuzi wa barabara hadi kibaha, ujenzi na uhamiaji makao makuu dodoma
a sasa hiyo hovyo ya Dodoma. Wizara nyingi hazina majengo na watendaji wengi wa serikali hawana nyumba. Balozi za nje hazina majengo Dodoma. Dar imebaki kuwa makao makuu. Stendi ya Magufuli haina mpangilio mzuri imebaki kuwa kama Kariakoo. Daraja la Ubungo ni hadhi ya chini mahali kama pale ni design ya kukurupuka ona madaraja ya Kenya yalivyo viwango.
 
Duniani kuna mengi. Aanalinganisha chato Airport na songwe Airport? Kisa katajwa John. John alifanya mambo kwa propaganda nyingi hata wajinga wengi kuamini kumbe yalikuwa maigizo. John
Taratibu bila hasira tuendelee kuwatoa kwenye dimbwi la UJINGA Watanzania wengi ambao waliibgia kwenye propaganda za uwongo za Magufuli.
 
Kwani angekuwepo miradi ingesimama?
Na je kwani kuendelezwa chato kulikuwa na shida gani?
Au je chato ni Burundi kiasi kwamba kusiendelezwe au umeandika haya ukiwa na maana gani?
Magufuli atabaki kuwa ni mtu aliye wahi kuiongoza Tanzania hata kama mnamchukia.
 
Binafsi nakushukuru sana kwa kupandisha uzi huu hapa. Nilisoma kupitia mwananchi online.
Nimependa ili wale wanaokaa na kusifiana hapa wajue kwamba kile KIKARAGOSI CHAO KILIKOSEA MAMBO MENGI SANA
Hakuna mabaya yasiyo na uzuri.
Magufuli alikuwa kama pilipili.
Siyo kama wengine wao wapo kama pilipili hoho.
 
Sasa wewe kuwepo kwa uwanja wa ndege Chato ambao unahudumia mpaka mkoa wa Geita huwa unateseka nini? ilihali ni wilaya iliyopo ndani ya mkoa wa Geita na sio kama Songwe Mkoa alafu Mbeya nae anaitegeea Airport ya Songwe?
Wewe huna kitu kichwani zaidi ya mzigo wa nywele. Nenda kasome tena post yangu #85.

Watu mumeishia madarasa ya MEMKWA bado na nyinyi mnataka kuchangia hoja za GTs. Jiografia ndogo sana unashindwa kuijua, kweli unaweza kuwa na akili ya kujibu hija zangu?
 
Nimezungumzia Mkoa Songwe! labda uniambie GDP ya Songwe sio Mbeya
Mkoa wa Songwe hauna Airport. Airport kubwa huko Nyanda za Juu Kusini yenye kiwango cha runway ya kimataifa iko mkoa wa Mbeya ila inaitwa Songwe International Airport. Imechukua jina Songwe kwa vile ni jina la eneo na mto mkubwa unaotenganisha Mkoa wa Mbeya na Songwe.

Zamani kabla ya mwaka 2007 Mkoa wa Songwe ulikuwa ni sehemu ya Mkoa wa Mbeya
 
Hapana. Nachukia kwamba Magufuli alitumia mabilioni ya watanzania kujenga miradi mikubwa ambayo sasa inakufa kwa sababu haikustahi kujengwa Chato.
Kilipojengwa kiwanda cha tumbaku Morogoro wanalima tumbaku.
Haya huko Iringa wanachimba dhahabu,
Haya Dar es Salaam wanarima pamba sikuna kiwanda cha nguo je pia wanafuga ng'ombe si kuna wafugaji?
Hakukosea Hakukosea alikuwa na mpango wa kuweka vivutio ili population ifanyike halafu maendeleo yaje kuna shida gani?
 
Wanaomsifia Magufuli ni watoto wa juzi, watu waliokuwa hawana access ya taarifa na watu wazima ambao walikua na maslahi na ujinga wake.

Kwa sisi wengine tunamfahamu tangu akiwa mbunge na waziri na madudu take aliyoyafanya. Tunakaa kimya tu
Yaani Mzee Mwanakijiji unamuita mtoto wa juzi ?....acha utani aisee.
 
On

a sasa hiyo hovyo ya Dodoma. Wizara nyingi hazina majengo na watendaji wengi wa serikali hawana nyumba. Balozi za nje hazina majengo Dodoma. Dar imebaki kuwa makao makuu. Stendi ya Magufuli haina mpangilio mzuri imebaki kuwa kama Kariakoo. Daraja la Ubungo ni hadhi ya chini mahali kama pale ni design ya kukurupuka ona madaraja ya Kenya yalivyo viwango.
Tunaendelea na hasara: kuwanyima kusoma wasichana wenye mimba, kukandamiza haki za binadamu kwa kupinga mashoga
 
Back
Top Bottom