Chato: Kijiji kilichokaribia kuwa makao makuu ya mkoa-2

Ha
Tunaendelea na hasara: kuwanyima kusoma wasichana wenye mimba, kukandamiza haki za binadamu kwa kupinga mashoga
p ndio ukatili wake ulipo onekana kwa wanawake. Wasichana tu ndio wanaoadhibiwa je wavulana waliowapa mimba akina dada wao wanaendelea na masomo.
 
Unajua madhara ya kuzuia chakula kisiende njee na madhata yake?
 
Ha

p ndio ukatili wake ulipo onekana kwa wanawake. Wasichana tu ndio wanaoadhibiwa je wavulana waliowapa mimba akina dada wao wanaendelea na masomo.
Wavulana hufungwa jela kwa ubakaji miaka 30 kwa kuwapa mimba wanafunzi, hayo masomo wanaendelea nayo wapi, unajitoa akili kizembe hivyo
 
Ha

p ndio ukatili wake ulipo onekana kwa wanawake. Wasichana tu ndio wanaoadhibiwa je wavulana waliowapa mimba akina dada wao wanaendelea na masomo.
Wavulana waliwapa mimba wanafunzi walifungwa miaka 30 mbona mwanamke hakufungwa miaka 30?
 
Magufuli was a country bumpkin.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Country Bumpkin aliyejenga reli, aliyejenga mabarabara, madaraja, flyover, ndege, stigler gauge,aliyenunua rada 3, alifungua balozi 6,aliyekusanya kodi kwa wakwepa kodi, aliyepambana na mfumuko wa bei,aliyepita barabarani akitatua shida za watu,aliyekomesha ugaidi wa kibiti
 
Kwa Maono Yangu Magu Ni Mfano wa Kuigwa.
Lazima Upajenge Kwenu Kama Kweli Wewe Mzalendo Wa Sehemu Uliotoka,Lazima Uoneshe Ushajaa Nyumbani Kwenu,Ulete Heshima Kwa Watu wa Kwenu.Wewe Kama mzaramo,Mzigua Lazima Upinge Hili suala

Mkataa Kwao Mtumwa.
 
Atakama kwani kuweka Taa za. Kuongezea magari ni serikali kuu ndo inafanya hivo? Hiyo ni alama moja wapo ya usalama barabaran haijalishi inatumika wapi!
Kwani kuna mtu aliyelaumu? mimi namshukuru president Meko kutupunguzia ajali za ng'ombe.

Hili nalo linakuudhi?
 
You are also a country bumpkin, that is why you wrote what you wrote.

You do not see the logical fallacy called non sequitur in your statement when compared to mine.

You are a one track minded sassy simpleton, a boondoggled bumpkin, a duped dummy, a yielding yokel who can't think a bar beyond the first floor, the lowest level of this obviated opacity.
 
Huyu jamaa,huyu jamaaaaa!!!
 
Hakuna cheti feki kama Magufuli! Ninajua jinsi akina Dr Akwilapo walivyomfanyia PhD yake pale UDSM department of chemistry tukiwa tunaon

Hakuna cheti feki kama Magufuli! Ninajua jinsi akina Dr Akwilapo walivyomfanyia PhD yake pale UDSM department of chemistry tukiwa tunaona!
Uliona nini? Walikuwa wanaandikia kwenye corridor au ni nini hasa ulichoona? Ongea kama msomi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…