Chato kumenoga, NHC yatangaza kuuza viwanja 1,200 pembeni mwa ziwa Viktoria. Panafikika kwa usafiri wa anga, majini na ardhini

Chato kumenoga, NHC yatangaza kuuza viwanja 1,200 pembeni mwa ziwa Viktoria. Panafikika kwa usafiri wa anga, majini na ardhini

Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.

Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.

Chato - Burigi National Park,
Chato Airport,
Chato International Stadium (Coming soon),
Chato Mataa,
Hospitali ya Rufaa ya Chato,
Bandari ya Nyamirembe Chato,
TRA Chato;
Chuo Cha Ufundi Stadi - Chato
.
.
Kwa hisani ya watu wa CHATO!!
.
.
Mtapapenda tu
 
Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.

Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.

Wilaya pendwa Tanzania 😍😍😍😍
 
Pesa kweli mwanaharamu pori linageuzwa kuwa mji na usishangae visinunuliwe vyote...
 
Mimi mangi nina ruhusiwa kuchukuwa kumi apo karibu na kwa mjomba
 
Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.

Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.

Mbona kila kitu Chatro,
Kwani atatawala milele?
Huu ubinafsi Mungu hapendi!!
 
Tatizo chato hakuna pisi kali wenyeji wake ni wakimbizi wa burundi wahutu na watwa

Tutapeleka na wanawake wazuri huko machotara ya Zanzibar, yakazaliane huko kuupendezesha mji.

Kama huna taarifa ile Hospitali ya Chato ni Zonal Level Kama unavyoona Bugando au Mloganzila.

Ukomo wetu wa kuongoza sio miaka 5.

Utaratibu upo hivi; Miaka 5 ya mwanzo ni kipindi cha kujifunza na kupanga. Miaka mitano ya pili ni IMPLEMENTATION ya kile kilichopangwa miaka 5 ya mwanzo.

Miaka 5 ya tatu ni kipindi cha ku wrap up yaani kuhitimisha implementation. Ni kipindi cha UKAMILISHAJI. Yaani Ni kipindi cha kukamilisha uumbaji wa nchi.
 
Tutapeleka na wanawake wazuri huko machotara ya Zanzibar, yakazaliane huko kuupendezesha mji.

Kama huna taarifa ile Hospitali ya Chato ni Zonal Level Kama unavoona Bugando au Mloganzila.

Ukomo wetu wa kuongoza sio miaka 5.

Utaratibu upo hivi; Miaka 5 ya mwanzo ni kipindi cha kujifunza na kupanga. Miaka mitano ya pili ni IMPLEMENTATION ya kile kilichopangwa miaka 5 ya mwanzo.

Miaka 5 ya tatu ni kipindi cha ku wrap up yaani kuhitimisha implementation . Ni kipindi cha UKAMILISHAJI. Yaani Ni kipindi cha kukamilisha uumbaji wa nchi.
Mungu yupo ndugu yangu na korona bado ipo usije shangaa kipindi cha pili mtu ulimi nje chali kifo cha mende nyimbo za maombolezo kila kona,bendera nusu mlingoti ndipo itakuwa kilio na kusaga meno ,miradi yote piga chini kama alivyopiga chini bandari ya bwagamoyo
 
Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.

Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.

Fomu za kununua tunazipatia wapi?
 
Those are White elephant projects or business, after five years nobody will send his or here ass over there.
Or if something ILL happen...!!![emoji848][emoji848][emoji848]
 
Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.

Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.

Namshauri meko awalzimishe wabunge wote wanunue viwanja kwa lazima.
N waalimu wote na wqkurugenzi wote na wakuu wa mikoa na wkuu wa wilaya.

Au nasema uongo ndugu zanguu?

Milele na milele tenaaa
 
Back
Top Bottom