Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 846
- 388
Chato - Burigi National Park,Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
Wilaya pendwa Tanzania 😍😍😍😍Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
Wazee wa fursa tupo kazini... Ila kunavutia aisee.. laki sita ni bargain lazima na mimi nikamate kimoja hapo..Ngoja niwahi kujenga kilinge
Mbona kila kitu Chatro,Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
Those are White elephant projects or business, after five years nobody will send his or here ass over there.Ngoja niwahi kujenga kilinge
Tatizo chato hakuna pisi kali wenyeji wake ni wakimbizi wa burundi wahutu na watwa
Mungu yupo ndugu yangu na korona bado ipo usije shangaa kipindi cha pili mtu ulimi nje chali kifo cha mende nyimbo za maombolezo kila kona,bendera nusu mlingoti ndipo itakuwa kilio na kusaga meno ,miradi yote piga chini kama alivyopiga chini bandari ya bwagamoyoTutapeleka na wanawake wazuri huko machotara ya Zanzibar, yakazaliane huko kuupendezesha mji.
Kama huna taarifa ile Hospitali ya Chato ni Zonal Level Kama unavoona Bugando au Mloganzila.
Ukomo wetu wa kuongoza sio miaka 5.
Utaratibu upo hivi; Miaka 5 ya mwanzo ni kipindi cha kujifunza na kupanga. Miaka mitano ya pili ni IMPLEMENTATION ya kile kilichopangwa miaka 5 ya mwanzo.
Miaka 5 ya tatu ni kipindi cha ku wrap up yaani kuhitimisha implementation . Ni kipindi cha UKAMILISHAJI. Yaani Ni kipindi cha kukamilisha uumbaji wa nchi.
Fomu za kununua tunazipatia wapi?Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mzee kigagula kumbe Tanzania ni mkoa katika nchi ya Chato ?
Kuna fursa mbadalaWazee wa fursa tupo kazini... Ila kunavutia aisee.. laki sita ni bargain lazima na mimi nikamate kimoja hapo..
Or if something ILL happen...!!![emoji848][emoji848][emoji848]Those are White elephant projects or business, after five years nobody will send his or here ass over there.
Namshauri meko awalzimishe wabunge wote wanunue viwanja kwa lazima.Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
Isije ikawa kama mayai ya kwareKuna fursa mbadala
kwani si Kuna wakazi wa chato huko, na hao ndiyo wahusika zaidi.Ukiona viwanja vinauzwa laki 6 ujue hakuna mji hapo! Labda aamue kukaa madarakani milele ili aendelee kupalazimisha pawe mji. Ukishanunua kiwanja ukajenga then nini sasa!