Chadema ina strong hold Chato, jambo hili halikumpendeza mwenda zake.Kanda Ya Ziwa CCM,ilishapoteza uungwaji mkono tangu 2010,hata JPM hakuungwa mkono 2015&2020..Nj usanii tu CCM waliwafanyia CHADEMA..
Magufuli aliwatuma akina sabaya kudhuru na kuiba mali za watanzania kwa kutumia bunduki.Tuelezwe: Magufuli alifariki au aliuwawa?
ππWangeifanya Nchi kabisa.
Bado upo usingizini mdogo wangu, yaani upinzani chini ya mbowe na zitto ndio ibebe dola? Embu muda mwingine uwe serious mdogo wangu.Uchaguzi ukiwa huru na wa haki, support ya kanda ya ziwa kwa Hangaya haiwezi kumfanya ashinde 2025.
Tuwekee uthibitisho.Magufuli aliwatuma akina sabaya kudhuru na kuiba mali za watanzania kwa kutumia bunduki.
Kuna utofauti gani apoTuelezwe: Magufuli alifariki au aliuwawa?
Bado hatuna upinzani unaoeleweka.Bado upo usingizini mdogo wangu, yaani upinzani chini ya mbowe na zitto ndio ibebe dola? Embu muda mwingine uwe serious mdogo wangu.
Kufariki ni kifo cha asili (natural death) ila kuuawa maana yake wamemuua.Kuna utofauti gani apo
We kwan umeambiwa aliuliwaKufariki ni kifo cha asili (natural death) ila kuuawa maana yake wamemuua.
Sijaambiwa, nimeuliza swali.We kwan umeambiwa aliuliwa
Mbona samia alitoa sabb ya kifo chakeSijaambiwa, nimeuliza swali.
I second this, mfano mzuri ni jinsi hawa ndugu zangu wanavyokinzana kauli nadhani tumeshuhudia Mwenyekitu na Makamu Mwenyekiti wakipishana kauli baada ya Mbowe kwenda jengo jeupe.Bado hatuna upinzani unaoeleweka.
Sawa.Mbona samia alitoa sabb ya kifo chake
Umeridhika au bado una dukuduku moyoni πππSawa.
Duh. Mungu ni mwemaKuna tetesi kadhaa zimeanza kusambaa mitaa ya Chato tangu leo asubuhi kuwa, ujio wa Rais Samia katika wilaya ya Chato katika kuadhimisha kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kufariki dunia kwa rais Magufuli huenda kukaenda sambamba na mojawapo kati ya mambo mawili kama sio yote mawili, yaani Chato kupewa hadhi ya kuwa mkoa au tarehe 17/Machi kuwa siku ya mapumziko kitaifa (Magufuli day).
Lengo haswa ni kuenzi mema yaliyowahi kufanywa na Magufuli (kulinda legacy ya Magufuli) japokuwa wadadisi wanasema ni mbinu za Rais Samia kutafuta uungwaji mkono kutoka kanda ya ziwa baada ya kupata ukosoaji mkubwa kutoka kwa wakazi na wazawa wa mikoa ya kanda ya ziwa tangu aingie madarakani.
Kuhusu hoja kuwa ingepaswa kwanza kuwepo kwa Mkapa day kabla ya kufikiria kuwepo Magufuli day, wapigia debe wa kuwepo Magufuli day wanasema kuwa, Magufuli alifariki akiwa madarakani jambo ambalo linajenga hoja ya upekee na msukumo wa kutaka uwepo wa siku maalum ya kumkumbuka Magufuli kwa kuwa kifo kilimkuta katikati ya jukumu la kuwatumikia watanzania.
Masikini...a dismembered body of... π±π°π₯π€
Bado hatuna upinzani unaoeleweka.
Bado upo usingizini mdogo wangu, yaani upinzani chini ya mbowe na zitto ndio ibebe dola? Embu muda mwingine uwe serious mdogo wangu.