Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

Mpelekee da' Mange hii tamthilia. Itanoga.
 
Anna Tibaijuka wakati ni wazir alijenga nyumba kwao kwa ule mradi wa shirika la nyumba lkn kwa sasa wapangaji ni popo na mbayuwayu!!!
 
Wazilankende wengi, wanyambo, wanyaiyangiro yaan washuti wafanya kazi za ndani kina mama tibaijuka, wahangaza walima vipande na wasUkuma wa kusingiziwa wote waliitwa washuti na kufanya kazi za ndani kwa wahaya, na wahaya wana dharau mnooo, sasa unayemsema anaweza akawa analipiza kisasi kwa kuchungishwa ng'ombe kipindi hicho na wahaya, sasa anasema ngoja niwakomoe,

Wanaotokea bukoba mnaelewa abashuti wale wazamiaji na kujiita wahaya kumbe si wahaya ni wahamiaji haramu , na wengine walishindwa pa kujiweka wakajiita wasukuma,

Pascal Mayalla
 
Kuna bwana mmoja alishinda ubunge kwa hila. Chama chake hakikuwa kinakubalika na ilikuwa dhahiri mgombea wa CUF anashinda.

Alimpa Vitinho mgombea yule wa CUF na kumwahidi donge nono. Alimchukua mpaka Dar na kumtelekeza guest house. Yule mgombea anasngalia news na kuona bwsna yule anatangazwa kuwa ameshinds bila kupingwa kwani yeye hakurudisha fomu za uchaguzi.
 
Mwaka huu tutaona na kusikia mengi sana
 
Ni maji marefu nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…