Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

Ni kweli anenaye huyu jamaa ila achelewi kupewa jina la uchochezi.
 
Mimi inabidi nikatafute kakiwanja huko aisee sasa hivi bado vitakuwa bei chini.
 
 
Ila hawafikii wachagga kipindi kile, tulikuwa tunaambiwa tuache wivu wa maendeleo, ebu acheni wivu wa maendeleo, chato ikiwa mkoa utapungukiwa na nn?
 
Aiseeeeh....! yaani wanashindwa kuifanya ifakara kuwa mkoa ( mahenge, mwaya, ifakara, mtimbila) na inavigezo vyote, sijajua kwanini watu wa ifakara na mahenge hawatakiwi kupelekewa huduma jirani ila wana ng'ang'ana na sehemu nyingine tu
 
Nani kaficha mahela uswiss? Acha uchochezi ndugu.
 
haina shida still ni tanzania mb0na kuna mikoa midogo tu kama dsm na knjaro
 
Ngoja nikajiandae kuwa DC au Katibu mwenezi wa mkoa ndo furusa hizo
 
Hatakama ni
"Tuunge mkono juhudi za Raisi wetu"
Nizahovyo kunaumuhimu gani kupeleka reli yakisasa mwanza kabla ya kigoma wakati kigoma kuna mahale na gombe bandari kigoma pamoja nakuwa na miundombinu yahovyo kabisa ya usafiri wabarabara na reli imesafirisha tani nyingi kuliko mwanza mji wakihistoria waujiji ingesaidia kupunguza gharama za vitu vya ujenzi tungenunua sawa namwanza alafu unasema aungwe mkono kwa juhudi hizi zakudumaza uchumi
 
Jamani vipi...mbona hatupewi mkoa wetu?? Rubondo?

Tunamsubiri JPM afanye yake!
 
Ukubwa wa Arusha unafikia wa Morogoro? Kwanini mpaka Leo Moro haujagawanywa?

Unajua Idadi ya Wilaya za Mkoa Katavi
Arusha ilikua kubwa na geography yake ilikaa vibaya, hakuwa Sumaye ni Mkapa ndio ali-initiate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…