Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Mnasubiri nini viongozi wa TAMISEMI kumshawishi Mzee Magufuli autangaze mkoa mpya wa Chato.
Haiwezekani Geita uitwe mkoa huku Chato yenye majengo na miundomninu bora ibaki kuwa wilaya.
Options ni mbili tu zimebaki.
1. Mkoa wa Geita ugawanywe na kuupata mkoa mpya wa Chato au mkoa uhamishiwe makao makuu yake yawe Chato.
Kama options hizi mbili zote hazitazingiwa basi viongozi wa TAMISEMI akiwemo Jaffo ni wanafiki. Wapo osifini kusubiri amri na mshahara tu
Haiwezekani Geita uitwe mkoa huku Chato yenye majengo na miundomninu bora ibaki kuwa wilaya.
Options ni mbili tu zimebaki.
1. Mkoa wa Geita ugawanywe na kuupata mkoa mpya wa Chato au mkoa uhamishiwe makao makuu yake yawe Chato.
Kama options hizi mbili zote hazitazingiwa basi viongozi wa TAMISEMI akiwemo Jaffo ni wanafiki. Wapo osifini kusubiri amri na mshahara tu