Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio data zilikuwa zinapikwa awamu iliyopita?Vyanzo vimeongezeka mapato yanapungua maana yake kuna usimamizi mbovu wa makusanyo.
Hapo makusanyo mengi yanaenda kwenye matumbo ya watu na sio kwenye halmashauri.
Sasa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.
Na wanataka uwe mkoa, hii nchi hapana.nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lkn mapato ndo yamashita km hivyo yanashuka. Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndo hivyo!
Mapato ya Pemba ni kiasi gani?
Kwani wewe umesikia mwenyekiti wa halmashauri akilalamikia data kupikwa ama mapato kupungua? Mwenyekiti anaijua halmashauri yake so wanajua anachokisema.sio data zilikuwa zinapikwa awamu iliyopita?
Kakijiji kamaskini kanataka makuu eti kawe mkoa! Khaa!Kwani wewe umesikia mwenyekiti wa halmashauri akilalamikia data kupikwa ama mapato kupungua? Mwenyekiti anaijua halmashauri yake so wanajua anachokisema.
Sijui, tuambie km we unajuaMapato ya Pemba ni kiasi?
Hata Dar es Salaam ilianza kama kijiji.Kakijiji kamaskini kanataka makuu eti kawe mkoa! Khaa!
Unafiki tu umewajaa huyo mwenyekitinimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lkn mapato ndo yamashita km hivyo yanashuka. Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndo hivyo!
Aiseeeee !!!Yule jamaa kama Putin. Aliteka dagaa na samaki wanaovuliwa visiwa vya wilaya ya Muleba wauziwe wilaya ya Chato na kulipa ushuru Chato. Lango la kuingia mbuga za Burigi badala kuliweka Muleba au Biharamulo yeye kaliweka Chato yaani ni kama umetoka Moro kwenda Dar badala ya kupitiliza chalinze we unaenda Segera kwanza unapima uzito ndo urudi kuendelea kwenda Dar.
Haa haa just haa haa😂😂😂😂Sasa kama Ikulu na Airport za Chattle hazina kazi mapato yatatoka wapi?
Watu walikuwa wanafungua biashara wakiamini Mfalme ataendelea kuleta neema sasa hayupo Chattle imebaki yatima.
View attachment 2131271