Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe kaondoka na vingi mno….Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.
Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndio hivyo!
Sasa kama Ikulu na Airport za Chattle hazina kazi mapato yatatoka wapi?
Watu walikuwa wanafungua biashara wakiamini Mfalme ataendelea kuleta neema sasa hayupo Chattle imebaki yatima.
View attachment 2131271
Wacha upumbavu mkoa wa Pwani ndo ulimegwa na kutoa Dar! Hata Mchato mwenzenu Makonda alimega Mloganzila kutoka Pwani na kuileta Dar!Hata Dar es Salaam ilianza kama kijiji.
Ulitaka Chato iwe kama New York ndio iombe mkoa?
Wakati Pwani inapewa mkoa kibaha ilikua hovyo kuliko Chato ya sasa lakini sasa Kibaha imechangamka.
Kama watu wanataka mkoa wapewe tu.
na badoNimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.
Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndio hivyo!
Sasa zile milioni 50 kila kijiji chato haipokei? Mbona hawajumlishi kwenye mapato.Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.
Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndio hivyo!
Hapa kuna jambo Wananchi wa Tanzania tujifunze na kuzingatia ili lisije kujirudia tena huko mbele kwa wale watakaoiongoza nchi yetu! Rais akichaguliwa ni wa nchi nzima whether anatoka Msoga au Chatto is irrelavant; kupendelea kule wanakotoka ni upofu wa kiuongozi!
Magufuli alinajisi kiti cha urais na ile tabia yake ya kupendelea kwao. Sidhani kama kuna Rais aliyelazimisha maendeleo kwao kama Magufuli. Hata Kikwete maendeleo yaliyopatikana mkoa wa Pwani mengi yalikuwa ni matokeo ya kuwa karibu na Dar. Imagine Magu alikuwa na mpango wa kujenga uwanja wa mpira wa kimataifa Chatto!Hapa kuna jambo Wananchi wa Tanzania tujifunze na kuzingatia ili lisije kujirudia tena huko mbele kwa wale watakaoiongoza nchi yetu! Rais akichaguliwa ni wa nchi nzima whether anatoka Msoga au Chatto is irrelavant; kupendelea kule wanakotoka ni upofu wa kiuongozi!
Wewe shoga kwanza kasome historia ya uanzishwaji wa mikoa ujue pwani ilianzishwa lini na Dar ilianzishwa lini usikurupukie kujibu wanaume wa wenzako hovyo hovyo.Wacha upumbavu mkoa wa Pwani ndo ulimegwa na kutoa Dar! Hata Mchato mwenzenu Makonda alimega Mloganzila kutoka Pwani na kuileta Dar!
kazi kweli kweliMpika data aliyekua anataka chato iwe mkoa keshaondoka na uongo wake. Ukweli ndio huo sasa
Shoga babako Dar ilikuwa ndani ya mkoa wa Pwani!Wewe shoga kwanza kasome historia ya uanzishwaji wa mikoa ujue pwani ilianzishwa lini na Dar ilianzishwa lini usikurupukie kujibu wanaume wa wenzako hovyo hovyo.
Na bado. Siku zote watu waliozoea kupendelewa, akiondoka aliyekuwa akiwapendelea, huporomoka sana.Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.
Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndio hivyo!
Unauliuza tako la mbuz wakati mbuz mwenyew kabinua mkia juu? Kwani si mpish wa takwimu alizaliwa,kuishi na kufa hapo chato? Sasa mnajiuliza nin? Mambo mengine muwe mnajijibu wenyewe bhana
Hawa ndio wana taka mkoa. Kata yetu kwa mwezi tuna kusanya zaidi ya hizo za wilaya pendwa.Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.
Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndio hivyo!
Hii ni hujuma! Hatutakubali sisi kama watunza legacy never ever 😂😂😂😂Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!
Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.
Kamati yaundwa kuchunguza.
Ndio hivyo!