Chato: Mapato yashuka kutoka Tsh mil 77 hadi mil 10 kwa mwezi

Chato: Mapato yashuka kutoka Tsh mil 77 hadi mil 10 kwa mwezi

Usifananishe Pwani na upuuzi wa chato,Pwani ilianza kuwa mkoa kabla hata Dar es salaam haijawa mkoa,Halafu Pwani sio Kibaha tu kama Kibaha ilikuwa hovyo sehemu nyingine hazikuwa hovyo kwa wakati huo
Hata Dar es Salaam ilianza kama kijiji.

Ulitaka Chato iwe kama New York ndio iombe mkoa?

Wakati Pwani inapewa mkoa kibaha ilikua hovyo kuliko Chato ya sasa lakini sasa Kibaha imechangamka.

Kama watu wanataka mkoa wapewe tu.
 
Ndo mlitaka uwe mkoa huu...histori za madikteta katika sehemu wanapotokea zinafanana mfano Mobutu alitumia nguvu kubwa kupaendeleza kwao madhara yake alipotoka madarakani pakawa kichaka tu
Kwa hiyo unataka kusema kuwa kuna wakati Chato itakuwa vichaka??.
 
Yule jamaa kama Putin. Aliteka dagaa na samaki wanaovuliwa visiwa vya wilaya ya Muleba wauziwe wilaya ya Chato na kulipa ushuru Chato. Lango la kuingia mbuga za Burigi badala kuliweka Muleba au Biharamulo yeye kaliweka Chato yaani ni kama umetoka Moro kwenda Dar badala ya kupitiliza chalinze we unaenda Segera kwanza unapima uzito ndo urudi kuendelea kwenda Dar.
Kha!kha,!, wewe jamaa noma sana.
 
Unauliuza tako la mbuz wakati mbuz mwenyew kabinua mkia juu? Kwani si mpish wa takwimu alizaliwa,kuishi na kufa hapo chato? Sasa mnajiuliza nin? Mambo mengine muwe mnajijibu wenyewe bhana
Acha matusi,kubinua matako ndio nini sasa?!!!.
 
Hata Dar es Salaam ilianza kama kijiji.

Ulitaka Chato iwe kama New York ndio iombe mkoa?

Wakati Pwani inapewa mkoa kibaha ilikua hovyo kuliko Chato ya sasa lakini sasa Kibaha imechangamka.

Kama watu wanataka mkoa wapewe tu.
Enzi hizo na sasa ni tofauti mzee.
 
Yule jamaa kama Putin. Aliteka dagaa na samaki wanaovuliwa visiwa vya wilaya ya Muleba wauziwe wilaya ya Chato na kulipa ushuru Chato. Lango la kuingia mbuga za Burigi badala kuliweka Muleba au Biharamulo yeye kaliweka Chato yaani ni kama umetoka Moro kwenda Dar badala ya kupitiliza chalinze we unaenda Segera kwanza unapima uzito ndo urudi kuendelea kwenda Dar.
🤣🤣🤣🤣🤣🍺🍺
 
Inawezekana hayo mapato ndio halisi hata wakati wa Dikteta lakini kwa kuwa jamaa alikuwa mpenda sifa na ukizingatia Dikteta alikuwa na malengo yake kuipandisha hadhi kingunguvu basi data zilikuwa zinapikwa kwa maagizo tu.
 
Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!

Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.

Kamati yaundwa kuchunguza.

Ndio hivyo!
Wanaunda kamati kuchunguza hawakuhudhuria msiba? Khee!😀
 
Hapana hizo data hazikuwa cooked kuna kitu hamkijui,enzi zake alikuwa anaenda na msafara,mahotel yote yanajaa pomoni,ujenzi wa majumba kwa chawa nk,sasa amekufa hotel zimejaa popo na chawa hawajengi tena.chato ni kijiji kikubwa
 
Kazi kunyooshea watu vidole wakati ukweli unajulikana hii nchi

hela ipo ila usimamizi hamna,watu wanajipgia pesa tu Uzembe na

kukosa uzalendo kwa viongozi waliopo,haya basi mwakan chato mapato yatafka laki 3

rahaaaa eeeeh mnyosheeni vidole mlie zoea,mtu kashapumzika badala mjadili point za msingi

kazi kunyooshea wengne vidole,uzembe uzembe uzembe sio chato tu Nchi nzima mapato yatashuka

na tutakopa mpk tubatzwe majina tukionekana nchi za watu "mtu toka nchi ya wakopaji" Acha nisubri

zangu viza za ukraine labda zitatolewa nijitoseamo vitani nikafie mble huko kuliko kudaiwa na hela enyewe sijawahi pewa.
 
Kazi kunyooshea watu vidole wakati ukweli unajulikana hii nchi

hela ipo ila usimamizi hamna,watu wanajipgia pesa tu Uzembe na

kukosa uzalendo kwa viongozi waliopo,haya basi mwakan chato mapato yatafka laki 3

rahaaaa eeeeh mnyosheeni vidole mlie zoea,mtu kashapumzika badala mjadili point za msingi

kazi kunyooshea wengne vidole,uzembe uzembe uzembe sio chato tu Nchi nzima mapato yatashuka

na tutakopa mpk tubatzwe majina tukionekana nchi za watu "mtu toka nchi ya wakopaji" Acha nisubri

zangu viza za ukraine labda zitatolewa nijitoseamo vitani nikafie mble huko kuliko kudaiwa na hela enyewe sijawahi pewa.
We Utafia hapohapo chato Kwa njaa hiyo ya akili uliyonayo
 
Nimeona hilo kupitia star TV usiku huu wa saa mbili. Tatizo ni nini?!!!

Mwenyekiti anashangaa kuwa vyanzo ndiyo kwanza vimezidi lakini mapato ndio yamashita kama hivyo yanashuka.

Kamati yaundwa kuchunguza.

Ndio hivyo!
Kuna siku tutajifunza kitu. Mambo mengi yanafanyika bila kuzingatia vigezo. Matokeo yake tunaishia kupata hasara. Chato iwe fundisho makosa yasirudiwe. Je ni pesa ngapi ilitumika na nguvu kiasi gani ku elevate mji wa Chato? Haikuishia hapo ukapangwa kuwa mkoa kwa sababu hafifu sana. Itakuwa kila mwenye madaraka aanzishe mkoa au sehemu fulani ya nchi ipewe hadhi fulani kwa heshima ya fulani! Hapo tunakwama wala hatujiulizi tunakwama wapi!
 
Mapato ya chato kwa mwezi, ni sawa na mfanyabiashara mmoja wa katoro au kariakoo kwa siku, wao wanakusanya kwa mwezi, Mwenyekiti wa halmashauri bwana Manunga atakuwa Kaunda mtandao wa wezi wa mapato ya halmashauri.

Yaani tuunde Mkoa unaokusanya mapato yanayotosha kulipa mgambo 20?
 
Mungu anatupenda sana, alijua kwa unyonge wetu like dubwana tusingeliweza kulitoa, akatusaidia kuliondoa.
 
Hivi upo serious kweli??. Yaani Tz ya enzi za Nyerere na TZ ya enzi za Samia ipo sawa?. This is ridiculous.[emoji23][emoji23][emoji23]
Usijichekeshe kama shoga.

Maisha ya watanzania ni yale yale, 80% bado wanasumbuliwa na umasikini, 80% bado wanategemea kilimo kama uti wa mgongo, 80% bado wanaishi mashambani ama vijijini.

Sasa hapo ni nini kimebadilika toka kipindi cha Nyerere na sasa? Ni muda tu umebadilika na watu kuongezeka ila changamoto ni zile zile.
 
Back
Top Bottom