Sio masaa order ya mtu mmoja hyoMapato ya mfanyabiashara mmoja wa kariakoo kwa masaa tu ya siku
Hapa Tanzania hakunaga uchaguzi ila wanajichaguaga wenyewe ndiyo maana wanajiamuliaga vya kufanya bila kuwashilikisha wananchiHapa kuna jambo Wananchi wa Tanzania tujifunze na kuzingatia ili lisije kujirudia tena huko mbele kwa wale watakaoiongoza nchi yetu! Rais akichaguliwa ni wa nchi nzima whether anatoka Msoga au Chatto is irrelavant; kupendelea kule wanakotoka ni upofu wa kiuongozi!
Yale maeneo wanayoshinda Chadema huwa Kuna uchaguzi?Hapa Tanzania hakunaga uchaguzi ila wanajichaguaga wenyewe ndiyo maana wanajiamuliaga vya kufanya bila kuwashilikisha wananchi