Nimekuelewa sana Kalamu,
Lakini kwa jinsi ninavyokuheshimu kwa michango yako humu, utakuwa hujatufanyia jambo jema kama wewe binafsi utshindwa kuanzisha hii hoja,
Nadhani ni jambo muhimu sana, kuna vitu ambacho Watanzania wa kawaida wanavihitaji kutoka kwa mtu kama Magufuli, hata uwaambie nini hawatakuelewa,
Labda huwa kuna viongozi ambao ni katana Mwenyezi Mungu, na wengine huwa ni viongozi wa kulazimisha na ujanja ujanja tu, the same kama CHADEMA,
Nikivyomwona Kardinali Pengo hapo, ndio hapo vilevile I nakuja hoja yako hapo, kwamba uongozi ni karama, maana hata mtoto anamfahamu Pengo, pamoja na kwamba kastaafu ni muda sasa, kuliko huyu wa leo