Chato: Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, atembelea kaburi la Hayati Magufuli

Chato: Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, atembelea kaburi la Hayati Magufuli

Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu, mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa Chato.
 
hakika
Katika picha na Video ni Askofu Flavian Matindi Kassala wa Jimbo Katoliki Geita akiambatana na Mapadre, Watawa na baadhi ya waamini wa Jimbo Katoliki Geita, katika mapokezi ya Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo kuu la Dar es salaam Katika uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Leo.

Pengo leo Machi 16, 2023 ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita aliyefariki Dunia Tarehe 17 Machi 2021
View attachment 2554194View attachment 2554193
View attachment 2554183
View attachment 2554186
View attachment 2554187
hakika Mungu ni mwema kila wakati.Tunayoyawaza wanadamu Mungu hawazi hayo.RIP Mwamba.
 
View attachment 2554827
📍Chato

Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita.

Mama Janeth anazidi kunenenepa baada ya kifo cha mumewe.

Ananawili kila siku.
 
Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu,mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Wewe si mfu uliye hai? Umekuja kuishi milele hapa duniani?

Pengine hata hautazikwa kama hawa, labda utafukiwa tu kama mzoga au mbwa aliyefia porini, unajuaje?
 
Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu,mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Pumzi inatudanganya sana, kua makini na kauli zako, sisi wote ni marehemu watarajiwa ni bora hao waliotangulia kuliko sisi ambao hatujui mwisho wetu ukoje, unaweza ukafa na kipindu pindu ukazikwa na city hata nduguzo wasikuone, unaweza ukafa baharini ukaliwa na samaki usionekane hata kucha, unaweza ukagongwa na lori ukasagika watu wakakuzoa kama chapati hata usiweze kuagwa, unaweza ukafa kwenye ajali ya moto ukateketea hata majivu yako yasipatikane, unaweza ukapatwa na kansa ukaugua kwa mateso makali na hatimae ukaomba mwenyewe Mungu akuchukue tu,

Kua na heshima kwa wafu.
 
Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu, mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Hata mimi na wewe ni marehemu watarajiwa.au NYIE NDIO WALE WATU WAZURI MSIOKUFA?
 
View attachment 2554827
📍Chato

Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita.
Yaani upuuzi kama huu, ni bongo tu. Bora utembelee kaburi la Nyerere, kuliko la huyu kenge. Kwanza alikuwa mkabila sana, kwa mara ya kwanza alihutubia kupitia tv kwa kisukuma, alikuwa mbaguzi sana. Kiongozi gani asiyeweza kujenga hoja, badala yake aliamua kuua tu.
 
Kw
Yaani upuuzi kama huu, ni bongo tu. Bora utembelee kaburi la Nyerere,kuliko la huyu kenge. Kwanza alikuwa mkabila sana,kwa mara ya kwanza alihutubia kupitia tv kwa kisukuma,alikuwa mbaguzi sana.
Kiongozi gani asiyeweza kujenga hoja, badala yake aliamua kuua tu.
Kwa hiyo wewe kama unamchukia unataka kila mtu amchukie.utakufa mdomo wazi na chuki zako
 
Back
Top Bottom