Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakika Mungu ni mwema kila wakati.Tunayoyawaza wanadamu Mungu hawazi hayo.RIP Mwamba.Katika picha na Video ni Askofu Flavian Matindi Kassala wa Jimbo Katoliki Geita akiambatana na Mapadre, Watawa na baadhi ya waamini wa Jimbo Katoliki Geita, katika mapokezi ya Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo kuu la Dar es salaam Katika uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Leo.
Pengo leo Machi 16, 2023 ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita aliyefariki Dunia Tarehe 17 Machi 2021
View attachment 2554194View attachment 2554193
View attachment 2554183
View attachment 2554186
View attachment 2554187
Magufuli ni alama ya mapinduzi ya kimfumo yanayompa mtanzania maskini riziki.Mbona kwenye kaburi la mkapa haendi
DuuuuMagufuli ni alama ya mapinduzi ya kimfumo yanayompa mtanzania maskini riziki.
View attachment 2554827
📍Chato
Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita.
Mkuu taratibu na vidole hivyo!!!Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu,mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
I see. "uhuru wa kujieleza" ukizidi unakuwa uendawazimu.Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu,mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Wewe si mfu uliye hai? Umekuja kuishi milele hapa duniani?Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu,mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Pumzi inatudanganya sana, kua makini na kauli zako, sisi wote ni marehemu watarajiwa ni bora hao waliotangulia kuliko sisi ambao hatujui mwisho wetu ukoje, unaweza ukafa na kipindu pindu ukazikwa na city hata nduguzo wasikuone, unaweza ukafa baharini ukaliwa na samaki usionekane hata kucha, unaweza ukagongwa na lori ukasagika watu wakakuzoa kama chapati hata usiweze kuagwa, unaweza ukafa kwenye ajali ya moto ukateketea hata majivu yako yasipatikane, unaweza ukapatwa na kansa ukaugua kwa mateso makali na hatimae ukaomba mwenyewe Mungu akuchukue tu,Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu,mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Na Mungu alivyo wa ajabu si ajabu utatangulia wewe kufa kabla ya Kardinali Pengo.Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu, mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Acha dharau kwa Ben mkapaMagufuli ni alama ya mapinduzi ya kimfumo yanayompa mtanzania maskini riziki.
Si ajabu mke wako pia anaomba Mungu ufe na wewe ili anenepe kama Mama Janeth.MAMA JANETH ANAZIDI KUNENENEPA BAADA YA KIFO CHA MUMEWE.
ANANAWILI KILA SIKU.
Hata mimi na wewe ni marehemu watarajiwa.au NYIE NDIO WALE WATU WAZURI MSIOKUFA?Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu, mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa chato.
Yaani upuuzi kama huu, ni bongo tu. Bora utembelee kaburi la Nyerere, kuliko la huyu kenge. Kwanza alikuwa mkabila sana, kwa mara ya kwanza alihutubia kupitia tv kwa kisukuma, alikuwa mbaguzi sana. Kiongozi gani asiyeweza kujenga hoja, badala yake aliamua kuua tu.View attachment 2554827
📍Chato
Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita.
Wewe mwenyewe ni Marehemu mtarajiwa.Huyo pengo na marehemu ni wote ni wafu tu, mmoja ni mfu aliye hai na mwingine ni mfu aliyekufa. Natamani hata na yeyey pengo aanguke hapo amfuate mungu wake wa Chato.
Kwa hiyo wewe kama unamchukia unataka kila mtu amchukie.utakufa mdomo wazi na chuki zakoYaani upuuzi kama huu, ni bongo tu. Bora utembelee kaburi la Nyerere,kuliko la huyu kenge. Kwanza alikuwa mkabila sana,kwa mara ya kwanza alihutubia kupitia tv kwa kisukuma,alikuwa mbaguzi sana.
Kiongozi gani asiyeweza kujenga hoja, badala yake aliamua kuua tu.
Magufuli ni alama ya mapinduzi ya kimfumo yanayompa mtanzania maskini riziki.
Msamehe bureDuuuu
Nimesoma kwa kurudia rudia sijui umeandika nini!!!!
Magufuli alikufa mikononi mwa PengoMbona kwenye kaburi la mkapa haendi
[emoji23][emoji23][emoji119]Si ajabu mke wako pia anaomba Mungu ufe na wewe ili anenepe kama Mama Janeth.