Chato: Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, atembelea kaburi la Hayati Magufuli

Chato: Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, atembelea kaburi la Hayati Magufuli

Mkapa kasahaulika sana.
ni mmoja kati ya binadamu waliofanyia mengi sana Nchi yake tena bila ya kupenda Kiki

Misingi bora ya kiutawala, Taasisi na ki muundo aliyoiweka huyu Mzee ilipaswa apewe heshma ya kipekee sana

Marekani kuna George Washington lakini hiyo haijafanya wawasahau kina Roosevelt, Abraham Lincoln, Jefferson Davis
 
Hivi Mzee Benjamini Mkapa mmoja wa marais bora wa Africa aliwakosea nini wa Tanzania ?

ni mmoja wa Ma Rais bora sana lakini ni Rais asieadhimishwa kwa viwango sahihi tangu akiwa hai?


Mzee Benjamini Mkapa atakuja kuadhimishwa baadae sana kizazi hiki cha famasihala sijui fausenge kitapoisha
Nadhani hapa ndipo palipo na siri kubwa inayowahusu waTanzania kwa ujumla wao.

Tungekuwa na jukwaa hasa la GTs, hii ingekuwa ndiyo mada motomoto sana kujaribu kutafuta jibu la hizi tofauti tunazoziona waziwazi wakizionyesha waTanzania kwa viongozi hawa.

Mimi nitakwenda mbele zaidi, na kusema kuwa ukipata jibu sahihi linalowatofautisha Mkapa na Magufuli, jibu hilo hilo linaweza kuwa ni sahihi pia kwa chama kama CHADEMA kutoweza kuwashawishi waTanzania hadi sasa, ili waiondoe CCM madarakani.
WaTanzania wanaendelea kuing'ang'ania CCM, pamoja na madhaifu yake mengi, kuliko kuwaamini CHADEMA!

Magufuli alikuwa na makandokando mengi, lakini inaonekana kundi kubwa linayaweka pembeni, kwa sababu zilizomtofautisha yeye na wenzake, akina Mkapa na Kikwete na hata Mzee Ruksa.
 
Mkapa kasahaulika sana.
Kwani ni nani anakumbuka kuwa Kikwete aliwahi kuwa rais wa nchi hii; pamoja na kwamba bado yu hai, akifa je?

Hili ndilo linalowapambanua waTanzania ni watu wa aina gani.

Anayetaka kuwa kiongozi wa kukumbukwa na waTanzania hana budii ajifunze na kujuwa mambo wanayoyathamini waTanzania kwa viongozi wao.
 
Kwani ni nani anakumbuka kuwa Kikwete aliwahi kuwa rais wa nchi hii; pamoja na kwamba bado yu hai, akifa je?

Hili ndilo linalowapambanua waTanzania ni watu wa aina gani.

Anayetaka kuwa kiongozi wa kukumbukwa na waTanzania hana budii ajifunze na kujuwa mambo wanayoyathamini waTanzania kwa viongozi wao.
Nimekuelewa sana Kalamu,
Lakini kwa jinsi ninavyokuheshimu kwa michango yako humu, utakuwa hujatufanyia jambo jema kama wewe binafsi utshindwa kuanzisha hii hoja,

Nadhani ni jambo muhimu sana, kuna vitu ambacho Watanzania wa kawaida wanavihitaji kutoka kwa mtu kama Magufuli, hata uwaambie nini hawatakuelewa,

Labda huwa kuna viongozi ambao ni katana Mwenyezi Mungu, na wengine huwa ni viongozi wa kulazimisha na ujanja ujanja tu, the same kama CHADEMA,

Nikivyomwona Kardinali Pengo hapo, ndio hapo vilevile I nakuja hoja yako hapo, kwamba uongozi ni karama, maana hata mtoto anamfahamu Pengo, pamoja na kwamba kastaafu ni muda sasa, kuliko huyu wa leo
 
Pengo ??? [emoji23][emoji23][emoji23] Tumshukuru M/mungu kwa kuliponya Taifa.., hayo mengine ni msafara wa siafu tu
kama nakuona vile unavyopigwa na jua kali kuenda mpokea mtetezi wako Tundu akitoka ubejgihi na wewe kurudi nyumbani na daladala ukiamini ipo siku mtetezi na mkombozi wako atakuja kubadilisha maisha yako baada ya mtu fulani "kubana pesa"
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
kama nakuona vile unavyopigwa na jua kali kuenda mpokea mtetezi wako Tundu akitoka ubejgihi na wewe kurudi nyumbani na daladala ukiamini ipo siku mtetezi na mkombozi wako atakuja kubadilisha maisha yako baada ya mtu fulani "kubana pesa"
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Nikuambie tu bila kukuficha, siku magufuri amekufa nilikesha kwa furaha..siku hiyo hata vibarua wangu wanao chimba dhahabu niliwapa ofa ya kula kunywa na mapumziko ya siku 3... yule kiumbe alikuwa shetwani
 
Katika picha na Video ni Askofu Flavian Matindi Kassala wa Jimbo Katoliki Geita akiambatana na Mapadre, Watawa na baadhi ya waamini wa Jimbo Katoliki Geita, katika mapokezi ya Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo kuu la Dar es salaam Katika uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Leo.

Pengo leo Machi 16, 2023 ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato mkoani Geita aliyefariki Dunia Tarehe 17 Machi 2021
View attachment 2554194View attachment 2554193
View attachment 2554183
View attachment 2554186
View attachment 2554187
Amekwenda kufanya nini huko?!
 
What is the difference between a ruler and a leader?
Wabongo bhana kujifanya tunajua..

Ndiyo ukutwe kwenye TV unachambua kitu hapo utakitamka kwa Kiswahili kisha baadae utasema 'kwa lugha ya kitalaamu' kinaitwa hivi, ukimaanisha kingereza ndiyo lugha ya kitaalamu..

Sasa mtu kauliza swali kwa kiswahili badala umjibu unauliza hivyohivyo kwa kingereza kwamba msomi uongo.?[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom