Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Mkapa mnamuenzi vipi achimwene?Wewe naona unatutafuta maneno watu wa kusini. Unasemaje tumekaa kifala, kwani tunashikishwa ukuta sisi?
Acha upuuzi wa kijinga huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa mnamuenzi vipi achimwene?Wewe naona unatutafuta maneno watu wa kusini. Unasemaje tumekaa kifala, kwani tunashikishwa ukuta sisi?
Acha upuuzi wa kijinga huo.
Hitima ya Rais hiyo, siyo ya maandazi na chaiHapa itapigwa kama 2B ya maandalizi na posho
Ingekuwa mapumziko basi, lakini afadhali Chato International Airport (CIA) itatumikaRais Samia Suluhu kuongoza kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha hayati Magufuli itakayofanyika kwenye uwanja vya Magufuli uliopo Chato, March 17 mwaka huu.
Naona ndugu kmbwembwe sasa atashiriki mwaka mmoja wa Samia..
========
Geita. Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli itakayofanyika Machi 17, 2022 katika Uwanja wa Magufuli uliopo mjini Chato.
Baadhi ya viongozi watakaoshiriki hafla hiyo ni makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi.
Hayo yameelezwa leo Jumapili Machi 13, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyemule wakati akiwasalimia waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Upendo mjini hapa na kuwataka wajitokeze kushiriki hafla hiyo.
Senyamule amesema Serikali kwa kushirikiana na familia ya hayati Magufuli wamekusudia kufanya kumbukumbu ya mwaka mmoja ikiwa ni njia ya kumkumbuka kiongozi huyo.
Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka 2021 katika Hospitali ya Mzena iliyopo jijini Dar es salaam baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Mwananchi
WAHUNI KAZINI!Hapa itapigwa kama 2B ya maandalizi na posho
Rais wa nchi anaenziwa kitaifa, siyo kikabila au kikanda. Unataka kila kabila wawe wanaenzi watu wao?Mkapa mnamuenzi vipi achimwene?
Misappropriation of public funds.
Gaidi anayemtembelea rais ikulu. Basi hata rais ni gaidiTimu gaidi ngoja waje
Mwacheni, anaongoza nchi vizuri tu.Wakiongozwa na Bi. Mikopo
Hakukua na haja ya sherehe ya kumkumbuka dikteta ni upotevu wa rasilimali.Wakati wananchi wanaumia na mfumuko wa bei, Viongozi hawaathiriki na huo mfumuko kwani wamejiwekea utaratibu wa kufanya sherehe na kujilipa posho kila kukicha!
Mbona hata kumbukuzi ya mwl.Nyerere walifanyia Chato badala ya Butiama ,kwanini na hii kumbukuzi ya MAGUFULI wasifanyie Butiama au Lupaso?Lupaso tupa kule!😁
Unafikiri mimi ni chawa wa kusifia huto mama yenu nipate posho?Hahaha nadhan hata msemeje lakini huyu bwana JPM alishaingia mioyoni mwa wananchi over 80%..kwa hiyo mnapoamua kumdhihaki muwe makini sana...mama Samia Rais wetu alisema viatu vya JPM havimtoshi..alikiri Rais wetu..ni ukweli ...na muungwana sana..Rais wetu ametokea kwa JPM..means bila JPM tusingekuwa na mama Samia..hivi unadhan ataachaje kushiriki kikamilifu shughuli ya kumbukumbu....nyie kaeni mchambanee lakini mjue JPM na Samia walikuwa kitu kimoja.....na ndio maana aliendelea nae hata awamu ya pili kidogo..nyie wengine mnaotafuta fursa za kupiga hela eti kwa mgongo wa Rais,. Mmechina..hamtafanikiwa..msidhan Rais hajui kinachofanyika..kama Hamna kazi nendeni hata mkalime mashamba yapo tele kule
Na wale wahalifu dhidi ya binadamu wenzao kwa kutumia madaraka yao vibaya.Ni mashujaa tu, wanaoweza kupata heshima hiyo
Hakukua na haja ya sherehe ya kumkumbuka dikteta ni upotevu wa rasilimali.
Dementia ni maradhi yanayowapata over 60’s, usishangae sana.Hahahahaha
Taifa letu huenda linaongoza kwa Unafiki Duniani kwa sasa
Namsoma Lemutuz muda huu anamuasa Makonda kutulia kwa kuwa sasa hivi analipia gharama za udhalimu wake wakati enzi zile ilikuwa haipiti siku hajaandika Le commandant Field Mashal sijui kanyaga twende tumechelewa sana na fyoko fyoko zingine kibao…walio madarakani wana cha kujifunza
Haijakatazwa kwa yeyote kwenda huko lupaso, nenda kaongoze kumbukizi hizo mkuuMbona ya Mkapa haifanyiki, au sukuma gang wamekuwa na nongwa sana?
Haijakatazwa kwa yeyote kwenda huko lupaso, nenda kaongoze kumbukizi hizo mkuu