Chato: Rais Samia kuongoza kumbukizi mwaka mmoja kifo cha Magufuli

Mnazubaa tu anatukwa na ndio aliyemuinua huyo wanaemsujudia mnaacha Mkapa anadharaulika Yani jina kubwa like mmezubaa tu. Mnakubaliana na hii double standard wakati Mkapa ndio hata alisema apewe urais huyo????

Mnazubaa mno hata mkiamua kunishambulia huu ukweli hamuwezi kuukataa, wake up.
 
Ingekuwa mapumziko basi, lakini afadhali Chato International Airport (CIA) itatumika
 
Mkapa mnamuenzi vipi achimwene?
Rais wa nchi anaenziwa kitaifa, siyo kikabila au kikanda. Unataka kila kabila wawe wanaenzi watu wao?
Ungekuwa na point nzuri kama ungeshauri marais wote waliofariki waenziwe kitaifa na kwa utaratibu maalumu; lakini siyo kusema watu wa kusini tumekaa kifala. Huwezi kuwatukana kundi la watu kwa jambo ambalo liko nje ya uwezo wao bwashee!
 
Misappropriation of public funds.

Wakati wananchi wanaumia na mfumuko wa bei, Viongozi hawaathiriki na huo mfumuko kwani wamejiwekea utaratibu wa kufanya sherehe na kujilipa posho kila kukicha!
 
Wakati wananchi wanaumia na mfumuko wa bei, Viongozi hawaathiriki na huo mfumuko kwani wamejiwekea utaratibu wa kufanya sherehe na kujilipa posho kila kukicha!
Hakukua na haja ya sherehe ya kumkumbuka dikteta ni upotevu wa rasilimali.
 
Unafikiri mimi ni chawa wa kusifia huto mama yenu nipate posho?

Sioni umuhimu wa kupoteza pesa kwa dhifa zisizohitaji matumizi makubwa hivyo huo ni upotevu wa pesa.

Halafu hiyo 80% ya watanzania unawazungumzia wastaafu walionyimwa mafao yao, wafanyabiashara waliopewa kesi bandia za uhujumu uchumi, unazungumzia wizi wa kura kwa kuzima mitandao ya kijamii siku 6, unazungumzia watu waliofukuzwa kazi bila taratibu kufuatwa?

Unazungumzia watumishi wa umma walionyimwa nyongeza ya mshahara miaka 6 ilhali ni haki yao ya msingi, jumlisha wote hao na waliosahaulika ukumbuke wana chain ya familia na wategemezi.
 
Unafiki ndio adui mkubwa wa Taifa la Tanzania, hususan wanasiasa ambao wamewaambukiza wanataaluma sasa
 
Dementia ni maradhi yanayowapata over 60’s, usishangae sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…