Chato: Rais Samia kuongoza kumbukizi mwaka mmoja kifo cha Magufuli

hii ni mara 4250 anaenda kanda ya ziwa.
👇🏿
 
Lemutuz ni kama malaya wa kona bar yeye lolote kwake lenye ulaji ndio hutembea nalo,alikua chawa kindakindaki wa bashite
 
Sio mbaya kuchangamsha Uchumi

Wakati wa Great depression ya America 1929-1933 moja ya vitu walivyofanya kutoka huko ni kuruhusu vishughuli hivi vya kijinga jinga ki boost mzunguko wa fedha
UONGO
 
Unafiki ni dhambi baya sana, ccm unafiki wenu hata shetani anawashangaa
Hapo zamani: Edward Lowassa ni Fisadi Namba moja

Baada ya Umatemate: Kwa hali hii ya Umaskini wa Nchi hii jawabu pekee ni kumpa kura za Ndio Kamanda Edward Lowassa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Si iwe public holiday tulale nyumbani tu.
 
Lupaso ilifanyika, ila hakukuwa na utitili wa wanafiki (wanasiasa)

Ilikuwa ni ya kiroho zaidi, ikihusisha familia na ndugu wa Ben, jamii yake, na viongozi wa imani yake Ben (Katoliki)
Familia ya Ben inajitambua na hufanya kumbukumbu kama suala la familia ,ndugu na jamii yake.Hujiepusha na unafiki wa binadamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…