Chato wamshukuru Rais Samia kwa kuwapa Tsh 3.24 bilioni walizojengea Shule 13 Mpya, Madarasa 188 na Matundu ya Choo ya kutosha

Chato wamshukuru Rais Samia kwa kuwapa Tsh 3.24 bilioni walizojengea Shule 13 Mpya, Madarasa 188 na Matundu ya Choo ya kutosha

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wakazi wa wilaya ya Chato wamemshukuru sana Rais Samia kwa kuwapatia jumla ya tsh 3.24 bilioni walizotumia kujenga Shule mpya 13 za sekondari, Madarasa 188 na Matundu ya Choo ya kutosha.

Mbunge wa jimbo la Chato mh Kalemani amesema hiyo haijawahi kutokea tangu kuasisiwa kwa Wilaya hiyo na kwamba Wanamuunga mkono Rais Samia kwa 100%

Source: Star TV habari
 
Hii habari imeua legacy ya Mwendawazimu.
Chato ilihitaji madarasa Kichaa akajenga uwanja wa Ndege.
Unaongea km mjinga vile , so dar iliitaji stendi bora ya mikoani ila JK akajenga barabara za mtumba sio ? kuna muda ccm inawapumbaza akili kbs
 
Geita idadi ya watu 1.7 million 15 billion

Zanzibar idadi 1.5 million 230 billion

Zanzibar ukubwa wa eneo 1.666 km

Geita ukubwa wa eneo 20.054 km

Yohana mbatizaji kwa mgao huu wa fedha za mkopo,Mkoa wa Geita wanaambulia 15 billion huku eneo jingine linalokaribiana ukubwa na idadi ya watu likipata 230 billion.

Hii si sawa pengine ifike wakati Katiba yetu iangaliwe upya kuondoa haya makando kando.
 
Back
Top Bottom