The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Acha wivu,kwani wewe unajua iliwahi tokea lini?Siku hizi kila kitu kinachofanywa slogan ni " haijawahi kutokea "
Huu ujinga huu una mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu,kwani wewe unajua iliwahi tokea lini?Siku hizi kila kitu kinachofanywa slogan ni " haijawahi kutokea "
Huu ujinga huu una mwisho
Kumbe,Samia aliwaambia hamna cha kusema si mlitaka mpate,hakipo3.24B Ndiyo imefanya yote hayo!!?
Tusifike huko mkuu plz plz.Kwa hiyo magufuli aljenga uwanja wa Ndege huku Chato ikihiitaji madarasa na vyoo?!
Iwe hisani iwe jasho au mkopo wewe jua tuu zimefanya hayo kuwafaidi watznKwenye matumizi huwa inatajwa zimetoka kwake...
Lakini thubutu kutaja alikozitoa kwamba ni hisani ya mabeberu 😁 au kodi za wananchi...
Zanzibar ni Mkoa?Nchi ina mikoa 31 fedha ya mkopo ni 1.3 trillion. Mgawanyo sahii ilikuwa kila mkoa upate 40+ billion. Zanzibar wamechukua fedha za mikoa 5 ikiwa idadi yao ya watu na eneo haizidi hata wilaya ya Ikungi.
Hao wanaoshukuru ni kuwa hawajui hesabu.
Iwe hisani iwe jasho au mkopo wewe jua tuu zimefanya hayo kuwafaidi watzn
??????????????????Kwa hiyo magufuli aljenga uwanja wa Ndege huku Chato ikihiitaji madarasa na vyoo?!
Nzuri hiyoooMkuu JPM Ni marehemu. Why maneno yote haya. Are you normal?
Magufuli mshamba tu na mpumbavu kama wewe, Ndege anazitoa wapi, kama ni zake wape wanawe wachezee. Bashite umenyimwa akili umejaaliwa makalio.
Afu Zanzibar inazidiwa watu na Dsm karibia mara 3Zanzibar wamepewa 230 billion !.