wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Aliyeanzisha ujinga huo Ni magufuliSiku hizi kila kitu kinachofanywa slogan ni " haijawahi kutokea "
Huu ujinga huu una mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeanzisha ujinga huo Ni magufuliSiku hizi kila kitu kinachofanywa slogan ni " haijawahi kutokea "
Huu ujinga huu una mwisho
Iliposemwa Katiba mpya waliziba masikio, kazi iendeleeGeita idadi ya watu 1.7 million 15 billion
Zanzibar idadi 1.5 million 230 billion
Zanzibar ukubwa wa eneo 1.666 km
Geita ukubwa wa eneo 20.054 km
Yohana mbatizaji kwa mgao huu wa fedha za mkopo,Mkoa wa Geita wanaambulia 15 billion huku eneo jingine linalokaribiana ukubwa na idadi ya watu likipata 230 billion.
Hii si sawa pengine ifike wakati Katiba yetu iangaliwe upya kuondoa haya makando kando.
Ni kweli hii? hizo number duhChato idadi ya watu 360,000 = 3.2 billion
Zanzibar idadi ya watu 1.5 mil = 230 billion.
Usijitoe ufahamu hii ni hesabu ya darasa la 3 A.
Mama anaupiga mwingi.
Wawashukuru walipa kodi siyo SSH!! Hizo pesa siyo za SSH!! nj za watanzania wote!!Wakazi wa wilaya ya Chato wamemshukuru sana Rais Samia kwa kuwapatia jumla ya tsh 3.24 bilioni walizotumia kujenga Shule mpya 13 za sekondari, Madarasa 188 na Matundu ya Choo ya kutosha.
Mbunge wa jimbo la Chato mh Kalemani amesema hiyo haijawahi kutokea tangu kuasisiwa kwa Wilaya hiyo na kwamba Wanamuunga mkono Rais Samia kwa 100%
Source: Star tv habari
Hahaha afu muda mfupiSiku hizi kila kitu kinachofanywa slogan ni " haijawahi kutokea "
Huu ujinga huu una mwisho
Inaudhi sana hawa viumbe, kama ni kushukuru huyo alopewa jukumu la kusimamia/rais ndiye anatakiwa kushukuru kwasababu hakuombwa bali yeye ndiye aliyeomba aoeww kaziHahaha afu muda mfupi
Huyo anataka mkoa na hawapati
Hawajitambui haoKwa hiyo magufuli aljenga uwanja wa Ndege huku Chato ikihiitaji madarasa na vyoo..?!
Na wao bado wanakiishi kivuli chakeAliyeanzisha ujinga huo Ni magufuli
Ndiyo watajua kuwa hawajuiZanzibar wamepewa 230 billion !.
Nchi ina mikoa 31 fedha ya mkopo ni 1.3 trillion. Mgawanyo sahii ilikuwa kila mkoa upate 40+ billion. Zanzibar wamechukua fedha za mikoa 5 ikiwa idadi yao ya watu na eneo haizidi hata wilaya ya Ikungi.Wakazi wa wilaya ya Chato wamemshukuru sana Rais Samia kwa kuwapatia jumla ya tsh 3.24 bilioni walizotumia kujenga Shule mpya 13 za sekondari, Madarasa 188 na Matundu ya Choo ya kutosha.
Mbunge wa jimbo la Chato mh Kalemani amesema hiyo haijawahi kutokea tangu kuasisiwa kwa Wilaya hiyo na kwamba Wanamuunga mkono Rais Samia kwa 100%
Source: Star tv habari
Zanzibar ni nchi.Geita idadi ya watu 1.7 million 15 billion
Zanzibar idadi 1.5 million 230 billion
Zanzibar ukubwa wa eneo 1.666 km
Geita ukubwa wa eneo 20.054 km
Yohana mbatizaji kwa mgao huu wa fedha za mkopo,Mkoa wa Geita wanaambulia 15 billion huku eneo jingine linalokaribiana ukubwa na idadi ya watu likipata 230 billion.
Hii si sawa pengine ifike wakati Katiba yetu iangaliwe upya kuondoa haya makando kando.
Kama ni hivyo Tabora ilitakiwa ipewe nyingi zaidi, kwanini iwe Chato na si Sumbawanga, Kigoma, Shinyanga ama Mtwara ?Geita idadi ya watu 1.7 million 15 billion
Zanzibar idadi 1.5 million 230 billion
Zanzibar ukubwa wa eneo 1.666 km
Geita ukubwa wa eneo 20.054 km
Yohana mbatizaji kwa mgao huu wa fedha za mkopo,Mkoa wa Geita wanaambulia 15 billion huku eneo jingine linalokaribiana ukubwa na idadi ya watu likipata 230 billion.
Hii si sawa pengine ifike wakati Katiba yetu iangaliwe upya kuondoa haya makando kando.
Unaelewa maana ya nchi lakini.Nchi ina mikoa 31 fedha ya mkopo ni 1.3 trillion. Mgawanyo sahii ilikuwa kila mkoa upate 40+ billion. Zanzibar wamechukua fedha za mikoa 5 ikiwa idadi yao ya watu na eneo haizidi hata wilaya ya Ikungi.
Hao wanaoshukuru ni kuwa hawajui hesabu.
Watoto wa viroboto wanadai katiba mpya na demokrasia ya kweli.Timu gaidi wako bize kupanda ndege za Magufuli
Magufuli mshamba tu na mpumbavu kama wewe, Ndege anazitoa wapi, kama ni zake wape wanawe wachezee. Bashite umenyimwa akili umejaaliwa makalio.
Zanzibar ni mkoa uliopewa hadhi ya kuwa wizara inayojitegemea ndio maana Rais wake akija kwenye baraza la mawaziri anakuwa mjumbe wa kawaida hana tofauti na Waziri wa mazingira ndani ya vikao vya baraza la mawaziri.Unaelewa maana ya nchi lakini.
Chaggaland walikuwa kanchi wakauza utaifa wao na kuwa mkoa.
Halikadhalika Kigoma na Mafia ambayo ikawa wilaya kabisa.
Zanzibar walikuwa akili kubwa!
Inshu sio eneo tu , ila ni eneo + population , hiyo ni factor muhimu snZanzibar ni NCHI mzee?? Pamoja na udogo wa eneo ila ni NCHI. ingekuwa hivyo TABORA wangepewa pesa nyingi zaidi ya mikoa yote TZ
Sasa kama wizara inapewa fedha nyingi kuliko mkoa kuna ubaya gani?Zanzibar ni mkoa uliopewa hadhi ya kuwa wizara inayojitegemea ndio maana Rais wake akija kwenye baraza la mawaziri anakuwa mjumbe wa kawaida hana tofauti na Waziri wa mazingira ndani ya vikao vya baraza la mawaziri.
million elf tatu mia mbili arobain unaiona ndogo sheikh!?3.24B Ndiyo imefanya yote hayo!!?
Zanzibar sio nchi , na huduma za kiserikali zinaangalia hasa ukubwa wa eneo plus population iliyopoZanzibar ni nchi.
Walitakiwa wapate 50% ya fedha zote sema wanatuhurumia tu!