AiseeSijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?
Zote alizotoa kama sababu za Chato uwa kanda ya Utalii ni pumba tupu. Hamna hata moja inayozidi maeneo mengine kwenye kanda ya ziwa.
Hawa akina Ndumbaro baada ya utawala huu wa Magufuli ni moja kati ya mambo tutaomba vyuo vilivyowapa hizo PhD wazi NULLIFY, yaani WAZIFUTE
😂 😂 😂Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Yani haya maamuzi yalifanywa na PhD. Holder wawili..Hata jiwe anayo PhD wakati hata lugha yeyote hajui kiufasaha zaidi ya Kisukuma.
AKIWA RUVUMA ALIWAHI AGIZA HALMASHAURI ZOTE ZIPANDE MIANZI,ETI NI VIVUTIO NA VINAONGEZA RUTUBA MASHAMBANI.PhD NdumbaroSijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?
Zote alizotoa kama sababu za Chato uwa kanda ya Utalii ni pumba tupu. Hamna hata moja inayozidi maeneo mengine kwenye kanda ya ziwa.
Hawa akina Ndumbaro baada ya utawala huu wa Magufuli ni moja kati ya mambo tutaomba vyuo vilivyowapa hizo PhD wazi NULLIFY, yaani WAZIFUTE
Daaaah!AKIWA RUVUMA ALIWAHI AGIZA HALMASHAURI ZOTE ZIPANDE MIANZI,ETI NI VIVUTIO NA VINAONGEZA RUTUBA MASHAMBANI.PhD Ndumbaro
Zote zile 2 ni PhD Fake yaani Ndumbaro na bosi wake MwendazakeYani haya maamuzi yalifanywa na PhD. Holder wawili..
Mungu turehemu hakika mwendaZake alituchezea akili.
Na nyumbu wa kule serengeti wamehamishwa kutoka wapi mpaka wakawa wengi vile??Hata mbuyu ulianza kama uyoga!!
Serengeti, Ngorongoro, Mikumi na manyara hivi zilianzaje mkuu?
Ndumbaro mtupu sana upstairs basi tu sijui walifahamiana vipi na Mwendazake. Hastahiki hata kuwa Deputy MinisterAKIWA RUVUMA ALIWAHI AGIZA HALMASHAURI ZOTE ZIPANDE MIANZI,ETI NI VIVUTIO NA VINAONGEZA RUTUBA MASHAMBANI.PhD Ndumbaro
Miaka yote hiyo tangu Uhuru Chato haikuonekana ?Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Muda ni mwl mzuri sanaMagufuli anatengeneza Gbadolite ya Tanzania kama Mobutu Seseseko alivyofanya.
Mbona bibi royal tour hajafika chattle kutangaza utaliiEti Chato ni eneo tulivu inapendwa na watalii, kumbe Tanzania siku hizi sio kisiwa cha amani tena, amani iko Chato!.