Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Sijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?

Zote alizotoa kama sababu za Chato uwa kanda ya Utalii ni pumba tupu. Hamna hata moja inayozidi maeneo mengine kwenye kanda ya ziwa.

Hawa akina Ndumbaro baada ya utawala huu wa Magufuli ni moja kati ya mambo tutaomba vyuo vilivyowapa hizo PhD wazi NULLIFY, yaani WAZIFUTE
Aisee

Sent from my HTC U12 life using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ramani hii naomba kujua
Chato International Airport
Magufuli Stadium

1617026102549.png
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

😂 😂 😂
 
Nashangaa huo Uwanja wa Chato walioutumia Viongozi wetu kutua Chato kwenye Google Map hauonekani wala nyumbani kwa Mpendwa wetu

Lakini Star TV wamenifurahisha leo wakimnukuu Mama akisema miradi yote iliyo ndani ya Ilani ni lazima imaliziwe, kina Nyanda wameiainisha ni ile ya kwenye Ilani sio ile iliyopendekezwa kwa maslahi binafsi au matamko
Hapo tunaenda sawa sasa
 
Sijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?

Zote alizotoa kama sababu za Chato uwa kanda ya Utalii ni pumba tupu. Hamna hata moja inayozidi maeneo mengine kwenye kanda ya ziwa.

Hawa akina Ndumbaro baada ya utawala huu wa Magufuli ni moja kati ya mambo tutaomba vyuo vilivyowapa hizo PhD wazi NULLIFY, yaani WAZIFUTE
AKIWA RUVUMA ALIWAHI AGIZA HALMASHAURI ZOTE ZIPANDE MIANZI,ETI NI VIVUTIO NA VINAONGEZA RUTUBA MASHAMBANI.PhD Ndumbaro
 
AKIWA RUVUMA ALIWAHI AGIZA HALMASHAURI ZOTE ZIPANDE MIANZI,ETI NI VIVUTIO NA VINAONGEZA RUTUBA MASHAMBANI.PhD Ndumbaro
Ndumbaro mtupu sana upstairs basi tu sijui walifahamiana vipi na Mwendazake. Hastahiki hata kuwa Deputy Minister
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Miaka yote hiyo tangu Uhuru Chato haikuonekana ?
 
Back
Top Bottom