Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti chato kuna vivutio vingi vya utalii ikiwepo utalii wa maji na utalii wa mashamba ya miti pia Chato kuna amani na utulivu sana kitu ambacho kinawavutia sana watalii [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Watasubiri sana kuweza kumshawishi mzungu kwenda hukoEti Chato ni eneo tulivu inapendwa na watalii, kumbe Tanzania siku hizi sio kisiwa cha amani tena, amani iko Chato!.
Chato ni bab kubwa, yaani unaambiwa hospitality ya Chato Ina hadhi ya juu kuliko Bugando.
Hata mbuyu ulianza kama uyoga!!
Serengeti, Ngorongoro, mikumi na manyara hivi zilianzaje mkuu?
Magufuli anatengeneza Gbadolite ya Tanzania kama Mobutu Seseseko alivyofanya.Hana akili kabisa.
Hii nchi zaidi 85% ya watalii hua wanakuja kwa ajili ya mbuva ya Serengeti tu, kisha Ngorongoro 5% na mbuga nyingine zote combined ndio wanachangia 10% halafu leo uje kuweka chato kitovu cha utalii?....
Mpango ni Chato kuwa Jiji!Magufuli kaamua kutangaza wazi kuwa Chato kwanza wengine mtafuata.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inashangaza na kuchekesha.eti chato kuna vivutio vingi vya utalii ikiwepo utalii wa maji na utalii wa mashamba ya miti pia Chato kuna amani na utulivu sana kitu ambacho kinawavutia sana watalii [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Ndoto hizo, akiondoka madarakani miundombinu itabaki kuwa maskani ya popo na panya.Mpango ni Chato kuwa Jiji!
Mpaka yatokee ndio misukule itaelewa tulikuwa tunazungumza nini!Ndoto hizo.akiondoka madarakani miundombinu itabaki kuwa maskani ya popo na panya.
Wekeni na mlima Kilimanjaro au Meru kabisa maana hivyo vitoroli vitasaidia kuupanda huo Mlima huko ChatoWajenge na lile Bembea lilokuwa likimpeleka mtangulizi wake kuleeee Jamaica, itasababisha wengi Wenye mlengo kama wa huyo mtangulizi kote duniani kuja Chatto
WoyoooooooWaziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa...