Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Wanasumbuliwa na ugonjwa wao wa kibaguzi tu, hakuna lolote la maana Chato. Historia itamuhukumu Magufuli.Kwanini isiwe wilaya ya Serengeti, Bariadi au Musoma.
Watakao jaaliwa uhai watayaona MAGOFU ya Magufuli Chato.