Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Dr Ndumbaro, tangazo hilo la kufanya Chato kituo cha utalii liendane na kujenga ofisi kubwa hapo ya Kanda ya ziwa ya TTB/TANAPA kutangaza utalii. Hapo utakuwa umeweka uendelevu wa kivutio hicho. Hili ni muhimu mno.
Unaishi wapi? Ofisi zimeshazinduliwa tayari!
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Anaongea kwa aibu sana. Hawa wanajipendekeza tu, si kila kitu wanatumwa na mkuu.
 
Ni maajabu!! Mwili wangu wote ukiwa ndio hiyo ambapo hata wewe kwayo ulitoka, si ni hataree mkuu,

Pili, Acha kumdhalilisha mamayo, dadayo, mkeooo!!

Wenzio hatupati tabu kuwafahamu wajinga, Wewe ni bonge la mjinga, mjinga huamini ktk matusi!!

Acha kutukana
 
Ila daaa... Yote kheri ngoja na mimi niwe rais ...

Kigambon ntaifanya iwe paris ndogo .
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Haki hii nchi tumelaaniwa! Haya majitu yanayojifanya yamesoma kumbe utopolo mtupu! Yaani huyu mpumbavu anataka kutuaminisha kwamba Chato kuna wanyama wengi kuliko Serengeti? Ina maana ukweli nzuri za ziwani ziko Chato na siyo Busega, Bunda na Musoma? Ina maana maana watalii wanataka utalii kwenye misitu ya kupandwa na siyo misitu asilia? Nimeamini Ndumbaro ni mpuuzi na umbwa kama umbwa zingine!!
 
Msamehe tu huyu waziri, anatekeleza maagizo ya mkuu...
Sijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?

Zote alizotoa kama sababu za Chato uwa kanda ya Utalii ni pumba tupu. Hamna hata moja inayozidi maeneo mengine kwenye kanda ya ziwa.

Hawa akina Ndumbaro baada ya utawala huu wa Magufuli ni moja kati ya mambo tutaomba vyuo vilivyowapa hizo PhD wazi NULLIFY, yaani WAZIFUTE
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

THE NEW KINGDOM
 
Ni maajabu!! Mwili wangu wote ukiwa ndio hiyo ambapo hata wewe kwayo ulitoka, si ni hataree mkuu,

Pili, Acha kumdhalilisha mamayo, dadayo, mkeooo!!

Wenzio hatupati tabu kuwafahamu wajinga, Wewe ni bonge la mjinga, mjinga huamini ktk matusi!!

Acha kutukana
mamako!
 
Back
Top Bottom