Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Unaishi wapi? Ofisi zimeshazinduliwa tayari!Dr Ndumbaro, tangazo hilo la kufanya Chato kituo cha utalii liendane na kujenga ofisi kubwa hapo ya Kanda ya ziwa ya TTB/TANAPA kutangaza utalii. Hapo utakuwa umeweka uendelevu wa kivutio hicho. Hili ni muhimu mno.
Anaongea kwa aibu sana. Hawa wanajipendekeza tu, si kila kitu wanatumwa na mkuu.Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Kama hii picha ni ya kweli basi hii serikali inatupumbaza sana. Mnaanzisha miradi ya mabilioni wakati huduma za msingi bado ni mbovu kiasi hiki? Na hiyo wilaya hamna viongozi? It it were me I would have resigned.
Ndumbaro ni kipaza sauti tu, maamuzi yote yanatoka juu!Dr Kigwangalla ni bora kuliko Ndumbaro japokuwa wote wako Mapaka FC!
Na makucha yake, Chato Chatoni dadeki..!!Kumekuchaaaa
Utasikia hata HESLB na TBL wanajenga ofisi zao Chato.Mfalme karudi kwao naona kila mtu kaenda kujikomba huko... waipe tu hata makao makuu ya nchi
Ni maajabu!! Mwili wangu wote ukiwa ndio hiyo ambapo hata wewe kwayo ulitoka, si ni hataree mkuu,maku ww!
Hehehehe kwani bado?Utasikia hata HESLB na TBL wanajenga ofisi zao Chato.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia hata HESLB na TBL wanajenga ofisi zao Chato.
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Haki hii nchi tumelaaniwa! Haya majitu yanayojifanya yamesoma kumbe utopolo mtupu! Yaani huyu mpumbavu anataka kutuaminisha kwamba Chato kuna wanyama wengi kuliko Serengeti? Ina maana ukweli nzuri za ziwani ziko Chato na siyo Busega, Bunda na Musoma? Ina maana maana watalii wanataka utalii kwenye misitu ya kupandwa na siyo misitu asilia? Nimeamini Ndumbaro ni mpuuzi na umbwa kama umbwa zingine!!Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Sijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?
Zote alizotoa kama sababu za Chato uwa kanda ya Utalii ni pumba tupu. Hamna hata moja inayozidi maeneo mengine kwenye kanda ya ziwa.
Hawa akina Ndumbaro baada ya utawala huu wa Magufuli ni moja kati ya mambo tutaomba vyuo vilivyowapa hizo PhD wazi NULLIFY, yaani WAZIFUTE
THE NEW KINGDOMWaziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
mamako!Ni maajabu!! Mwili wangu wote ukiwa ndio hiyo ambapo hata wewe kwayo ulitoka, si ni hataree mkuu,
Pili, Acha kumdhalilisha mamayo, dadayo, mkeooo!!
Wenzio hatupati tabu kuwafahamu wajinga, Wewe ni bonge la mjinga, mjinga huamini ktk matusi!!
Acha kutukana