Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Muheshimiwa akistafu unataka awe anaenda mwanzo wakati kwao chato
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaa...nimeshindwa kucheka sana..sauti imekauka..mimi ni naanii hadi nisicheke?😂😂😂
Hivi 🐍ni senta eehh??ila freshi
itahudumia geita, kagera, kigoma na kahama
bugando itapunguziwa mzigo wa kuhudumia mwanza, mara, simiyu, shinyanga
Mkuu hata mimi nimecheka sana kama Serukamba, ngoja nimtafute mjomba Ben M nimuulize alikosea wapi awamu yake kule 'Lupaso Ntwara'?Ila hapo kwa Serukamba kucheka pamenifurahisha sana.
napendekeza hospitali iitwe Dr. John Pombe Magufuli National Hospital ili kumuenzi Rais wa awamu ya kishupavu ya 5Atafia hospital hiyohiyo wanayoijenga ili kumwabudu. Afrika sijui nani kawaroga
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.
“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
Chanzo: Mwananchi
... wanamwoma Nyerere punguani sana nadhani!Sasa hivi tuna kamsemo "Kila Rais na ajenge kwao"
Hakuna kitu kama kuelemewa bugandoWatujengee haraka sana maana bugando imeelemewa mno
Akifa kabla ya kuastaafu....?!!si akistaafu anaenda kutulia kule wacha wamuandalie the place to be