dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... huko Kanda ya Kusini na Kanda ya Magharibi mko wangapi? Hamjazi hata kibaba ninyi! Hoja ya Waziri Ummy ni kwamba Kanda ya Ziwa wako wengi! Hata Prof. Kabudi aliwahi kulisemea hili nadhani kwenye Sherehe za Uhuru Mwanza (2019). Mtakapokuwa "wengi" mtajengewa! Ha ha ha.Hii si sawa, kanda ya ziwa hospitali za rufaa mbili, kanda ya kusini hakuna, kanda ya magharibi hakuna. mmhh ukabila/ ukanda unapanda chati, umoja mshikamano utaporomoka tusipojisahihisha