isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Miundombinu isipojengwa sasa unataka ijengwe lini?! Watu walishamaliza haya masuala wapo wanabuni kuishi sehemu nyingine.Ukweli hatuna pesa hizo za mavitu makubwa mapya kila siku.
Kwanini tusiboreshe au kutanua miundombinu, vifaa tiba na rasilimali watu kwenye hospital hizo zilizopo tayari Mwanza, na pesa ya ziada tukaelekeza kwenye mambo mengine kama kuwapa mikopo watoto wa vyuo vikuu waliokosa mkopo kama yule ambae kakosa mkopo kisa mjomba wakati ana maisha nafuu alimsomesha sekondari shule binafsi?
Kwanini tusiweke kwenye madawa hiyo pesa ya ziada?
Namibia, Botswana, Rwanda wanamaliza, je unataka kuanza kujenga Hospitali 2050? Unataka uanze kujenga Reli 2070? Itakuwa aibu kwa Taifa hili!
Nigeria kila Kanda/State inachuo level za kimataifa same South Africa same Morocco hadi Ghana?! Haiwezekani
Lazima tuyafanye sasa, japo 2025 tuanze urutubishaji na ujenzi wa vinu vya nyuklia.