Pre GE2025 CHAUMMA kinaweza kwenda kuwa chama cha upinzani kikuu Tanzania muda wowote

Pre GE2025 CHAUMMA kinaweza kwenda kuwa chama cha upinzani kikuu Tanzania muda wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
MWALIMU NYERERE ALIPIGANIA SANA UHURU WA HILI TAIFA.

INASIKITISHA SANA KAMA WATU WENYEWE NDIO HAWA.
 
Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.

Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .

Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .

Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.

Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.

Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.

Plan B ni muhim .
Thanks
Kumbe hamna sera mnaabudu mtu? Mkishindwa kubali matokeo huo ndio uungwana!
 
Hiki ndio chama wakijiandika humu wanaenda kujisajiri, mara wakazuiwa.

Cha akina nani?

Waje humu wapate wa kufanya nao kazi haswa Chadema wa humu wanatafuta pa kwenda 😂😂😀
Ichi kipo kimesajiliwa na ni cha Mda , kipo chini ya Mwenyekiti Mzee Hashim Rungwe. Mkuu
 
Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.

Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .

Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .

Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.

Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.

Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.

Plan B ni muhim .
Thanks
Hivi kuanzisha chama cha siasa ni vigumu sana kama ilivyo vigumu kupita kwenye tundu la sindano?

If is'nt, why Bin Mugwayi asisajili chama chake sasa, mbona ana wafuasi kibao?
 
MWALIMU NYERERE ALIPIGANIA SANA UHURU WA HILI TAIFA.

INASIKITISHA SANA KAMA WATU WENYEWE NDIO HAWA.
Sio Nyerere peke yake ,nyuma yake alikua na watu imara na wasio yumba ,katika kizazi kile,

Leo kwetu vijana wanajibandika jina lake wanamtaja,nyuma ya pazia weupe kichwani kama karatasi, wanaamini katika uchawa.
 
Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.

Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .

Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .

Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.

Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.

Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.

Plan B ni muhim .
Thanks
 
Hivi kuanzisha chama cha siasa ni vigumu sana kama ilivyo vigumu kupita kwenye tundu la sindano?

If is'nt, why Bin Mugwayi asisajili chama chake sasa, mbona ana wafuasi kibao?
Ukisikia ujinga ndo huu why anzisha chama cha siasa wakati vipo vyama kibao, kwa sasa ukiona mtu anakimbizana kuanzisha chama cha siasa jiulize mara 20.
 
Lengo lenu la kumsapoti Mbowe na kuingiza RUSHWA za Abdul ni kutaka kuiua CHADEMA.
Alafu mkuu alivyo mpumbavu anajibu kirahisi sana, hivi uyu anafikiri chama bila wanachama kuna chama, au anafikili kuwa kupe wa FAM ,chama kikifa ataendelea kukinga mkono
 
Unasemaje wewe ccm ,unacheka wakati kwenu ndo mmevunja record ya Dunia namna na ya kuwapata wagombea, wenda USA siku moja ikaja kujifunza ccm
 
Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.

Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .

Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .

Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.

Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.

Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.

Plan B ni muhim .
Thanks
Msalimieni Mzee wa Ubwabwa!
 
Back
Top Bottom