CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
MWALIMU NYERERE ALIPIGANIA SANA UHURU WA HILI TAIFA.
INASIKITISHA SANA KAMA WATU WENYEWE NDIO HAWA.
INASIKITISHA SANA KAMA WATU WENYEWE NDIO HAWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hamna sera mnaabudu mtu? Mkishindwa kubali matokeo huo ndio uungwana!Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.
Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .
Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .
Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.
Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.
Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.
Plan B ni muhim .
Thanks
Ichi kipo kimesajiliwa na ni cha Mda , kipo chini ya Mwenyekiti Mzee Hashim Rungwe. MkuuHiki ndio chama wakijiandika humu wanaenda kujisajiri, mara wakazuiwa.
Cha akina nani?
Waje humu wapate wa kufanya nao kazi haswa Chadema wa humu wanatafuta pa kwenda 😂😂😀
WanaCCM tunamkubali sana huyu jabali la siasa za upinzani Tanzania. Tutamsapoti kukijenga CHADEMAccm tumtetee mwanetu Mbowe🤣
Hivi kuanzisha chama cha siasa ni vigumu sana kama ilivyo vigumu kupita kwenye tundu la sindano?Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.
Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .
Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .
Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.
Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.
Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.
Plan B ni muhim .
Thanks
Sio Nyerere peke yake ,nyuma yake alikua na watu imara na wasio yumba ,katika kizazi kile,MWALIMU NYERERE ALIPIGANIA SANA UHURU WA HILI TAIFA.
INASIKITISHA SANA KAMA WATU WENYEWE NDIO HAWA.
Na kweli tuliona na bango kwenye mkutano wa ccm ,WanaCCM tunamkubali sana huyu jabali la siasa za upinzani Tanzania. Tutamsapoti kukijenga CHADEMA
Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.
Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .
Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .
Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.
Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.
Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.
Plan B ni muhim .
Thanks
Lengo lenu la kumsapoti Mbowe na kuingiza RUSHWA za Abdul ni kutaka kuiua CHADEMA.Waondoke, habembelezwi mtu.
Ukisikia ujinga ndo huu why anzisha chama cha siasa wakati vipo vyama kibao, kwa sasa ukiona mtu anakimbizana kuanzisha chama cha siasa jiulize mara 20.Hivi kuanzisha chama cha siasa ni vigumu sana kama ilivyo vigumu kupita kwenye tundu la sindano?
If is'nt, why Bin Mugwayi asisajili chama chake sasa, mbona ana wafuasi kibao?
Matokeo ambayo yamenyooka kama rula ,sina hamna shidaKumbe hamna sera mnaabudu mtu? Mkishindwa kubali matokeo huo ndio uungwana!
Yes ccm tunamsapoti Mwanetu Mbowe kwa kila hali na kesho tunamwaga polisiWanaCCM tunamkubali sana huyu jabali la siasa za upinzani Tanzania. Tutamsapoti kukijenga CHADEMA
Alafu mkuu alivyo mpumbavu anajibu kirahisi sana, hivi uyu anafikiri chama bila wanachama kuna chama, au anafikili kuwa kupe wa FAM ,chama kikifa ataendelea kukinga mkonoLengo lenu la kumsapoti Mbowe na kuingiza RUSHWA za Abdul ni kutaka kuiua CHADEMA.
Yaani ccm wanamharibia mbowe waziwazi na kuiua chadema.Yes ccm tunamsapoti Mwanetu Mbowe kwa kila hali na kesho tunamwaga polisi
Mkuu we acha, tabia za kiccm ghafla zinaamia Chadema, kama hatuwezi pata mtu wa kuzikata mkia mapema ,unabaki chadema ili iweje,Yaani ccm wanamharibia mbowe waziwazi na kuiua chadema.
Msalimieni Mzee wa Ubwabwa!Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF.
Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani .
Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF .
Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na ALFA na OMEGA.
Sisi kama wanamabadiliko tunaonya vikali na mbinu zozote ovu, kwa Wangombea wengine, tutaambatana nao popote watakapo kwenda kama hawataridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi.
Pendekezo langu ni chama cha CHAUMA sio vyama vingine vilivyobakia.
Plan B ni muhim .
Thanks
Usijifanye hujui kuwa Mbowe amelamba asali🤣Watanganyika ktk siasa za upinzani usiwaamini, wakipewa vijensti tu tofauti na zanzibar
Tunaenda kwa RungweWaende NCCR Mageuzi.