Mwache Alambe,wewe kalambe koniUsijifanye hujui kuwa Mbowe amelamba asališ¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache Alambe,wewe kalambe koniUsijifanye hujui kuwa Mbowe amelamba asališ¤£
Usijifanye hujui kuwa Mbowe amelamba asališ¤£
Hili ni kweli Hashim Rungwe angalau ana msimamo sio kama sijui Dovutwa na wale wenginewengine yaani hao ni mbogamboga namba 3 baada ya ACT na CUF.Chuki na ACT imetoka wapi mkuu, kwenda ACT au CCM unakua umekimbia nini na kukwepa nini , CHAUMA ni chama sawa kidogo ,lakini angalau Mwenyekiti wake hua anaonesha utofauti na wenyeviti wengine wa vyama vidogo .
Sasa vilivyopo watu washaona ni vya kipigaji, huoni mtu akihamia huko atafubaa hata kama ni mwanasiasa makini?Ukisikia ujinga ndo huu why anzisha chama cha siasa wakati vipo vyama kibao, kwa sasa ukiona mtu anakimbizana kuanzisha chama cha siasa jiulize mara 20.