LGE2024 CHAUMMA yapata ushindi wa kiti 1 kati ya viti 181 Mbeya na kuwa chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi mkoani humo

LGE2024 CHAUMMA yapata ushindi wa kiti 1 kati ya viti 181 Mbeya na kuwa chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi mkoani humo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sana tena sana shida ya Chadema hizi vurugu sio jambo wa Tanzania wanapenda watu hawataki fujo wa Tanzania watu wakupenda raha nadhani muda muafaka wakirudi kwenye reli wakafanya siasa badala ya uanaharakati watafanikiwa kipindi pekee walifanya siasa baada ya kumchukua CCM Lowasa vs CCM walifanya siasa na walifanikiwa. Siasa za kufanya kama unagombania uhuru zimepitwa na wakati.
Kwan anaeteka watu na kuua ni upinzani au chama tawala , kwann chadema wasiteke ccmu watekane wao Kwa wao ? Je yule mgombea wa kigamboni kauliwa na chadema ? Je yule wa gomz kauliwa na chadema ?

Hata kama mtu mjinga siez kuwa mjinga wa kiwango chako
 
Siasa za ajabu ukute wanaojazaga watu upepo ni ccm ili chadema waingie chaka..kusifiwa sifiwa sio kizuri
Kujaza watu ni Kwa sababu ya kipya kinyemi yaani wanakuja kuwashangaa na sio kwamba hao wote ni wapiga kura wao.

Hawana sababu ya kwenda Kwa CCM labda waje viongozi wa Juu wa Serikali
 
Sasa hapo cha kushangaza nini? Wagombea wa Chadema si walienguliwa?
Walienguliwa bila sababu? Rufaa si walikata,ikawaje? Mbona kwingine walienguliwa na wakarudishwa? Ulitaka kama wamekiuka utaratibu wasienguliwe?

Na mwakani tunaimba mkurupuke hivyo hivyo bila maandalizi harafu muone moto 😂😂
 
Kwan anaeteka watu na kuua ni upinzani au chama tawala , kwann chadema wasiteke ccmu watekane wao Kwa wao ? Je yule mgombea wa kigamboni kauliwa na chadema ? Je yule wa gomz kauliwa na chadema ?

Hata kama mtu mjinga siez kuwa mjinga wa kiwango chako
Harafu Makala alieleza jinsi Chadema wamekuwa Wana ccm ila huwezi wasikia Hawa looser wakiongelea 😂😂

Niliona wamekimbia na maboksi ya kura nimicheka karibia nipasuke 🤣🤣🤣🤣😆
 
Mzee wa ubwawa wa Chauma Kwa mara ya kwanza amenyakua ushindi wa mgombea wake kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Mtaa Jijini Mbeya.

Ikumbuke Mbeya Kwa kina Sugu ndiko Chadema wanajifanyaga ni ngome Yao lakini Wameambulia Sifuri yaani zero huku nafasi zote zikienda Kwa Tulia-CCM na Chauma 😁😁😁😁.👇👇
View attachment 3164865
My Take:
Ukiweka Wagombea wenye staha na maadili Wananchi wanakuchagua maana Viongozi wa Mitaa tunaishi wote huku huku tunatambuana sio sawa na Wabunge au Madiwani Hadi tuhadithiwe.

======

WENYEVITI WA MITAA MBEYA WABEBESHWA JUKUMU LA WATOTO WA MITAAN.

Wenyeviti wa Mitaa 181 ya Jiji la Mbeya kutoka vyama vya CCM na CHAUMA pamoja na wajumbe 905 wanaounda uongozi wa serikali za Mitaa, wameapishwa baada ya zoezi la uchaguzi kukamilika na kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo.

Wenyeviti hao 181, kati yao 180 wanatokana na chama cha mapinduzi CCM huku mmoja kati yao akitokana na chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, wamehimizwa kuzitumia nafasi hizo vyema ikiwa ni pamoja na Kupambana na ongezeko la watoto wa mitaani.

Mohamed Aziz ni Katibu tawala wa Wilaya ya Mbeya, anasema Kama viongozi wa serikali za Mitaa wakishindwa kusimamia usalama kwenye Mitaa yao hakutakua na utulivu hivyo ni jukumu lao kuyasimamia hayo, huku msimamizi msaidizi wa uchaguzi Ally Nnunduma akiwataka kuchangia mawazo yao katika maendeleo ya Jiji la Mbeya.

Nae mwenyekiti pekee anayetokana na chama cha ukombozi wa Umma, (CHAUMA) Brayan Mwakalukwa kutoka mtaa wa Soko kata ya Ruanda amesema anayofuraha kubwa kushinda nafasi ya mwenyekiti kupitia Chama hicho na anaahidi kutoa ushirikiano kwa wenyeviti wenzake, Diwani wa kata Ruanda na Mbunge wa Mbeya mjini Dkt Tulia Ackson.
Sasa kama wagombea wao walienguliwa na kura kuibiwa kama inavyodaiwa, ulitegemea ushindi uende kwa nani?
 
Mzee wa ubwawa wa Chauma Kwa mara ya kwanza amenyakua ushindi wa mgombea wake kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Mtaa Jijini Mbeya.

Ikumbuke Mbeya Kwa kina Sugu ndiko Chadema wanajifanyaga ni ngome Yao lakini Wameambulia Sifuri yaani zero huku nafasi zote zikienda Kwa Tulia-CCM na Chauma 😁😁😁😁.👇👇
View attachment 3164865
My Take:
Ukiweka Wagombea wenye staha na maadili Wananchi wanakuchagua maana Viongozi wa Mitaa tunaishi wote huku huku tunatambuana sio sawa na Wabunge au Madiwani Hadi tuhadithiwe.

======

WENYEVITI WA MITAA MBEYA WABEBESHWA JUKUMU LA WATOTO WA MITAAN.

Wenyeviti wa Mitaa 181 ya Jiji la Mbeya kutoka vyama vya CCM na CHAUMA pamoja na wajumbe 905 wanaounda uongozi wa serikali za Mitaa, wameapishwa baada ya zoezi la uchaguzi kukamilika na kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo.

Wenyeviti hao 181, kati yao 180 wanatokana na chama cha mapinduzi CCM huku mmoja kati yao akitokana na chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, wamehimizwa kuzitumia nafasi hizo vyema ikiwa ni pamoja na Kupambana na ongezeko la watoto wa mitaani.

Mohamed Aziz ni Katibu tawala wa Wilaya ya Mbeya, anasema Kama viongozi wa serikali za Mitaa wakishindwa kusimamia usalama kwenye Mitaa yao hakutakua na utulivu hivyo ni jukumu lao kuyasimamia hayo, huku msimamizi msaidizi wa uchaguzi Ally Nnunduma akiwataka kuchangia mawazo yao katika maendeleo ya Jiji la Mbeya.

Nae mwenyekiti pekee anayetokana na chama cha ukombozi wa Umma, (CHAUMA) Brayan Mwakalukwa kutoka mtaa wa Soko kata ya Ruanda amesema anayofuraha kubwa kushinda nafasi ya mwenyekiti kupitia Chama hicho na anaahidi kutoa ushirikiano kwa wenyeviti wenzake, Diwani wa kata Ruanda na Mbunge wa Mbeya mjini Dkt Tulia Ackson.
Sawa
 
Sasa kama wagombea wao walienguliwa na kura kuibiwa kama inavyodaiwa, ulitegemea ushindi uende kwa nani?
Na wewe Kwa akili zako za kushikiwa ulitegemea Machadema yatasema yameshindwa? Kwamba watu waliokosa Hadi wagombea na mawakala ndio wanaweza shindana na maccm wazoefu na wabobesi kala Hawa ? 👇👇
Screenshot_20241129-211022.jpg


Ambako hawakuenguliwa ilikuaje? Hujasikia wameshinda Baadhi ya maeneo? Kwa nini washinde huko ?

Mwisho Kuna uchaguzi usio na taratibu? Kama walienguliwa Kwa kuonewa Kwa nini hawakwenda kusimamisha uchaguzi mahakamani?

Tunaimba na uchaguzi wa mwakani wakurupuke tena waone moto 🤣🤣
 
Kwa uchaguzi huu nasema hivi chadema wasitegemee kuchukua nchi kwa amani yani nimeshuhudia upuuzi mwingi sana aise hakuna

Narudia kusema kwa niliyoyaona kwa uchaguzi huu chadema msitegemee kuchukua nchi kwa njia ya amani.
 
Kwa uchaguzi huu nasema hivi chadema wasitegemee kuchukua nchi kwa amani yani nimeshuhudia upuuzi mwingi sana aise hakuna

Narudia kusema kwa niliyoyaona kwa uchaguzi huu chadema msitegemee kuchukua nchi kwa njia ya amani.
Walikuwa wanashuhudia upuuzi wanakenua si ndio? Ujinga huu kasimulie mkeo na umwambie kabisa kwamba huo huo upuuzi ila Machadema Kuna maeneo wameshinda 😆😁
 
K
Kuna wakati nilikuwa nasikia kelele mitandaoni eti Tulia amekalia kuti kavu kwenye jimbo Sugu anasubiri kuapishwa.

Mitandao inawadanganya sana Chadema.
kwa ushindi gani?? Huo ambao kura zinakutwa kwenye mabox zilishapigwa??? Au unazungumzia ushindi ambao wasimamizi ndio hao hao???? Wekeni mazingira sawa ili hata ukishinda ushinde kihalali sio kushinda kwa wizi alafu unaanza kutamba kuwa umeshinda kwa wizi????
 
Back
Top Bottom