LGE2024 CHAUMMA yapata ushindi wa kiti 1 kati ya viti 181 Mbeya na kuwa chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi mkoani humo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hapa tukijadili ushindi wa CCM tunapoteza tu muda,kwa yanayoendelea ni dhahiri CCM inajidhihirisha kuwa ni chama cha majambazi.Na kimejionesha hivyo maana kinaiba kura ,kinauwa watu ,kinateka,kinatesa,na mengine mengi ya kuumiza na kusikitisha.Je hii ndio CCM aliyoiasisi mwalimu Nyerere kweli.
 
Mlidhani Watanzania watawachagua Kwa kuimba pipoozi power na kuzungusha ngumi? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Kamanda wa mchongo unafeli wapi?
 
Wewe unafikiri mtakubali kwamba maeneo mengi 'mlifunga mabao ya mkono'?
 
Visingizio fc,nendeni mahakamani
Lengo linakuwa ni nini kufanya madudu kama hayo ili watakaolalamika waende mahakamani? Kwa nini kusifanyike tu utaratibu bora wa kuwa na uchaguzi huru na wa haki bila ya kuwa na haja ya kwenda mahakamani?
 
Huo haukuwa uchahguzi - utopolo.
 
Duh!
Yaani jamaa alitaka kuanza kumshukuru Mungu, ghafla akagundua kakosea, akabadilisha, akamshukuru Samiah.
 
Kuna wakati nilikuwa nasikia kelele mitandaoni eti Tulia amekalia kuti kavu kwenye jimbo Sugu anasubiri kuapishwa.

Mitandao inawadanganya sana Chadema.
Polisi wa nini na mitutu mitaani wakati wa uchaguzi ili tuamini hicho mnacho kisema?
 
Uhakika zaidi ni pale SUGU vs TULIA. Halafu mazingira yawe yanavyopaswa kuwa bila makandokando. Jibu litapatikana baada ya hapo. Kinyume na hapo itakuwa ni hisia tu ktk kuhukumu.
 
Uhakika zaidi ni pale SUGU vs TULIA. Halafu mazingira yawe yanavyopaswa kuwa bila makandokando. Jibu litapatikana baada ya hapo. Kinyume na hapo itakuwa ni hisia tu ktk kuhukumu.
Mtapigwa kama mlivyopigwa kwe Serikali za Mitaa.

Endeleeni kunidanganya huyo baby yenu Ili mumlie pesa zenu wakati hawezi kuwa Mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…