Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya wabongo wengi ni wivu na umaskini wa fikra kutokana na ugumu wa maishaWatu ni wanafiki sana hao hao walikua kutwaa kumsengenya dada wa watu oohh sijui ni demu wa mo oo vile sijui hivi...leo ndo wanaona ni mzuri sasa...hata mitaani huko watu wengi maisha yao ya humu yanaakisi tabia zao..
Yeye ndiyo alikua kiungo wa mpigaji Mo sasa Mo amebanwa na kashindwa kutetea maslahi yake imebidi waanze kufungasha virago.Huyu dada alijitahidi Sana kuitengeneza,Simba na kuitangaza na kuitafutia exposure. Sio Simba tuu lakini hata Tanzania imejulikana kisoka kimataifa.
Nadhani atakuwa amepata vikwazo vikubwa kwa wapiga Dili, ambao alikuwa ameziba mianya yote, Sasa wamtafutia zengwe hadi wamemngoa ili waendelee kutafuna fedha za viingilio na 10% za usajili
Kwani hapo utopoloni hampigwi ila kawaida yakiamka kwa simba ujue mageuzi yanayokuja uto lazima mteseke na kama kawaida yenu mtaitwa wala mihogoYeye ndiyo alikua kiungo wa mpigaji Mo sasa Mo amebanwa na kashindwa kutetea maslahi yake imebidi waanze kufungasha virago.
Hio 1.5b kweli kwa jezi za 35k kwa wingi wa watu walionunua unataka kuniambia nyie mmepata kiwango kikubwa piga hesabu vizur utajifunza mmepigwa huwez uza jezi 35k alaf timubichukue 1.5b inamaana kila jezi mmechukua 1k tuUmekaririshwa eti? Unaujua mkataba wa jezi wa yanga kwa sasa au ndio unajizima data,,mbona mkataba uko wazi na ulisainiwa mchana kweupe bro,,mkataba wa 1.5b. Kwa mwaka na ni miaka 3 upo hapo, iyo 1200 unayoisema unaijua wewe na wajinga wenzako lakini sisi mkataba tunaoujua ni huo uliosainiwa peupe na sio mafichoni kama anavyofanya mhindi wa bombay
Subirini akina try tomorrow wachukue timu muone vimbwanga.Yeye ndiyo alikua kiungo wa mpigaji Mo sasa Mo amebanwa na kashindwa kutetea maslahi yake imebidi waanze kufungasha virago.
Bundi ametua msimbaziKwani hapo utopoloni hampigwi ila kawaida yakiamka kwa simba ujue mageuzi yanayokuja uto lazima mteseke na kama kawaida yenu mtaitwa wala mihogo
Hatuna shida nae atalia ataondoka mwenyeweBundi ametua msimbazi
Kwani hizo hisa za bilioni 50 za Mwekezaji wetu janja janja, zina mahusiano gani na timu yetu ya thimba?View attachment 2442383
Open at ur own risk
Huo ni uongo 😂Hatuna shida nae atalia ataondoka mwenyewe
Tutakuwa bora na imara kuliko mwanzo
Kwaiyo nyie mmepigwa zaidi mnaochukua b.1 kwa mwaka sio, Sasa ni nani kilaza kuliko mwenzake?Hio 1.5b kweli kwa jezi za 35k kwa wingi wa watu walionunua unataka kuniambia nyie mmepata kiwango kikubwa piga hesabu vizur utajifunza mmepigwa huwez uza jezi 35k alaf timubichukue 1.5b inamaana kila jezi mmechukua 1k tu
Wewe unahesabu mauzo hauangalii gharama za uzarishaji, uendeshaji, promotion!Hio 1.5b kweli kwa jezi za 35k kwa wingi wa watu walionunua unataka kuniambia nyie mmepata kiwango kikubwa piga hesabu vizur utajifunza mmepigwa huwez uza jezi 35k alaf timubichukue 1.5b inamaana kila jezi mmechukua 1k tu
Nenda kaombe hyo nafsi acha kukah hapa jukwaani kutukanan na watu nenda kaombe nafasi s vyeti na uwezi unaoWatu ni wanafiki sana hao hao walikua kutwaa kumsengenya dada wa watu oohh sijui ni demu wa mo oo vile sijui hivi...leo ndo wanaona ni mzuri sasa...hata mitaani huko watu wengi maisha yao ya humu yanaakisi tabia zao..
Huyu alisifiwa sana kwa maneno yote siku za kukabidhiwa ofisi, huenda waliomsifia ndiyo wanamshambulia sasa, hii ndiyo BongoNafikiri hali si shwali ndani ya klabu ya mikia kwa sasa, kuondoka kwa babra kunaitimisha safari ya mwanamama uyu juu ya maneno mengi yaliyokuwa yanasemwa juu yake, akilalamikiwa na viongozi mbali mbali ndani ya klabu kuwa ana dharau na ni mbinafsi, kauli za manara dhidi yake zimetimia leo na inaonekana amepigwa presha kubwa sana mpaka ameamua kukaa pembeni, Lakini tukumbuke uyu alikuwa ni chaguo la mwekezaji na ndiye aliyempachika kuwa mtendaji mkuu licha ya baadhi ya wanabodi kuhoji namna alivyoajiriwa, Sasa nyuma ya babra yuko mwekezaji ambae na yeye sidhani kama amefurahishwa kuondoshwa kwa mtu wake wa karibu ngoja tusubili muda utaamua