Chawa wa CCM wanaitangaza ziara ya Tundu Lissu badala ya Katibu Mkuu wa CCM

Chawa wa CCM wanaitangaza ziara ya Tundu Lissu badala ya Katibu Mkuu wa CCM

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Chawa wa Lumumba wako busy kutuhabarisha Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema badala ya Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM hakika inafurahisha sana.

PIGENI KAZI MACHAWA kwa Taarifa zaidi kwa kila Tukio.

CHADEMA inawapongeza sana kwa hatua hiyo ya Kutangaza ZIARA za Viingozi Wake na kuacha KUTANGAZA Ziara ya KATIBU MKUU wa CCM.
 
Chawa wa Lumumba wako busy kutuhabarisha Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema badala ya Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM hakika inafurahisha sana.

PIGENI KAZI MACHAWA kwa Taarifa zaidi kwa kila Tukio.

CHADEMA inawapongeza sana kwa hatua hiyo ya Kutangaza ZIARA za Viingozi Wake na kuacha KUTANGAZA Ziara ya KATIBU MKUU wa CCM.
Yaani Chongolo wamemsahau kabisaaaa , alafu na sisi chadema tuna dhambi aisee, mbona hatuwasaidiii kutangaza ziara zao??! [emoji12][emoji12] Kwanza chadema wala hatuna habari na makocho kocho ya ccm, hii ni dhambi kubwa kwetu [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Kwani chongolo yupo ziarani kwelI mbona hatujui
Angalia hapa, nimeishia kucheka tu
IMG-20230205-WA0030.jpg
IMG-20230205-WA0029.jpg
 
Chawa wa Lumumba wako busy kutuhabarisha Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema badala ya Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM hakika inafurahisha sana.

PIGENI KAZI MACHAWA kwa Taarifa zaidi kwa kila Tukio.

CHADEMA inawapongeza sana kwa hatua hiyo ya Kutangaza ZIARA za Viingozi Wake na kuacha KUTANGAZA Ziara ya KATIBU MKUU wa CCM.
Wako makini mno.
John the baptist halaki usiku kucha lazima asikilize Rais TL amesema nini kika uchwao
 
Yaani Chongolo wamemsahau kabisaaaa , alafu na sisi chadema tuna dhambi aisee, mbona hatuwasaidiii kutangaza ziara zao??! [emoji12][emoji12] Kwanza chadema wala hatuna habari na makocho kocho ya ccm, hii ni dhambi kubwa kwetu [emoji39][emoji39][emoji39]

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Wacha wafu wazikane.
 
Yaani Chongolo wamemsahau kabisaaaa , alafu na sisi chadema tuna dhambi aisee, mbona hatuwasaidiii kutangaza ziara zao??! [emoji12][emoji12] Kwanza chadema wala hatuna habari na makocho kocho ya ccm, hii ni dhambi kubwa kwetu [emoji39][emoji39][emoji39]

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Ni muda wao kusubiri,miaka saba wana zurura kila kichochoro,kujitembeza na kuwapiga mahasimu wao marufuku kwanza walishajichokea bora wapumzike kwa kuipigia debe Chadema,chama pendwa cha watanzania 🤔
 
Back
Top Bottom