Chawa wa CCM wanaitangaza ziara ya Tundu Lissu badala ya Katibu Mkuu wa CCM

Chawa wa CCM wanaitangaza ziara ya Tundu Lissu badala ya Katibu Mkuu wa CCM

Hahaha....... unajua sikusoma Hiyo ya mama halafu nikashangaa maana Wewe siyo wa lugha zile tulizomaanisha!

Mkuu kwenye ukombozi wa nchi hii wenye lugha za ajabu ajabu hatuwahitaji. Akiwaita mwendazake kuwa ni vijana wa hovyo waliokuwa na mchango mdogo sana kwa taifa hili.
 
Mwenyekiti wako mwenyewe kaunga juhudi za Team CHAWA halafu unauliza kama anaridhiana bure!

Bavicha mnafeli sana huyo Mnyika alianzia bavicha leo ana daladala zaidi ya 100

Usilale Usingizi bwashee Siasa ni Biashara kama Biashara ya mbege tu!
Kwa hiyo unalipwa?
 
On the other hand, kwa uzoefu wangu, sipingani na ukweli kuwa CHADEMA wana mashabiki wengi mitandaoni kuliko CCM. Sababu zinazopelekea hali hii, pamoja na mambo mengine, kwa kuhusianisha na UTAFITI uliowahi kufanywa na TWAWEZA huko nyuma, CHADEMA inaungwa mkono zaidi na vijana na watu wasomi ambao wengi wao ni watumiaji wa mitandao. Naomba kuishia hapa kwa
Usijali kuhusu kunivunjia heshima, tunajenga. Okay, vipi Hawa nao kwenye picha ni WA kwenye mitandao? Shukrani
IMG-20230205-WA0028.jpg
 
Usijali kuhusu kunivunjia heshima, tunajenga. Okay, vipi Hawa nao kwenye picha ni WA kwenye mitandao? ShukraniView attachment 2508163
Ahsante kwa taarifa hii muhimu. Na pia, kusema kwangu CHADEMA wana mashabiki wengi mitandaoni sikumaanisha pia kuwa hawana mashabiki huko mitaani, kwenye ground. Nilitaka tu kusema kwenye mitandao karibu yote, inaonesha CHADEMA ina wapenzi wengi zaidi kuliko CCM.

Ushahidi mzuri ni hapa JF. Kipimo kimojawapo ni ule ushindani wa Juzi kumpata Mwanachama Bora wa mwaka 2022 kati ya Erythrocyte (Kada wa CHADEMA) na Pascal Mayalla (kada wa CCM). Pamoja na ukongwe alionao Pascal, bado ilishindwa na Erythrocyte. Hii inadhihirisha kuwa JF ina wapenzi wengi wa CHADEMA kuliko CCM.

Uwe na siku njema, Senior. Heshima kwako Mkuu.
 
Ahsante kwa taarifa hii muhimu. Na pia, kusema kwangu CHADEMA wana mashabiki wengi mitandaoni sikumaanisha pia kuwa hawana mashabiki huko mitaani, kwenye ground. Nilitaka tu kusema kwenye mitandao karibu yote, inaonesha CHADEMA ina wapenzi wengi zaidi kuliko CCM.

Ushahidi mzuri ni hapa JF. Kipimo kimojawapo ni ule ushindani wa Juzi kumpata Mwanachama Bora wa mwaka 2022 kati ya Erythrocyte (Kada wa CHADEMA) na Pascal Mayalla (kada wa CCM). Pamoja na ukongwe alionao Pascal, bado ilishindwa na Erythrocyte. Hii inadhihirisha kuwa JF ina wapenzi wengi wa CHADEMA kuliko CCM.

Uwe na siku njema, Senior. Heshima kwako Mkuu.
@Heart Wood. Nimependa argument yako, naiona busara ndani yake kila la kheri mkuu.
 
YAANI wapinzani ni watujasiri sana yaani wanajipaga moyo kwa vitu vya kufikirika sana, yaani unamshangaa mtu ambaye yuk na sahani anakula wewe unajipa moyo kuwa iposiku na wewe utakula ? kuwa mpinzani lazima uwe na upungufu kidogo wa akili
SAWA, I don't argue with idiots!
 
umekuwa mpooole now... ndo uzee umikuzidia au

Acha kunichokonoa mimi.. yes kunichokonoa.. nimefurahi kusoma tena.. umefufuka wako huyo mfalme karudi. 😘😘😘 Pokea busu hizo
 
Acha kunichokonoa mimi.. yes kunichokonoa.. nimefurahi kusoma tena.. umefufuka wako huyo mfalme karudi. 😘😘😘 Pokea busu hizo
😆 😆 😜 😋😋👌nimekumiss my bibi jamani asante kwa BUSU
 
Back
Top Bottom