Ukiona hivyo jahazi linakwenda mramaSiasa sio uadui? Hiyo imani mmeanza lini?
Kimechokwa sanaChama Chakavu watanzania hawana muda nacho
Wanafurahi kuitwa chawa. Uvivu wa kufanya kazi ni shidaπππ
View attachment 2508054
Huwa kuna buku 7 siyo bure, johnthebaptist mwongozo tafadhali.Jamaa utadhani wanalipwa
Buku 7 zilipendwaHuwa kuna buku 7 siyo bure, johnthebaptist mwongozo tafadhali.
Mwenyekiti wako mwenyewe kaunga juhudi za Team CHAWA halafu unauliza kama anaridhiana bure!Jamaa utadhani wanalipwa
Nimeripoti mkutano mkubwa wa Chongolo Mlimba
Nimeripoti mkutano mkubwa wa CCM Viwanja vya Furahisha
bibiii upooooo misiyuuuuuUkweli unauma ila ujumbe uwafikie.. πππ
Buku 7 zilipendwa
Sasa malipo kwa US Dollar
Kuripoti mkutano wa Lisu ambao Mbowe anahutubia ni kuripoti mkutano wa CCMKwa kweli utakuwa kina Chongolo na CCM umewachoka. Chongolo Mlimba na CCM Furahisha si wiki kabisa hiyo? π€£π€£
Kwani kuhusu Lissu na Chadema umeandika nyuzi ngapi baada ya Hapo au hata wa mwisho ilikuwa lini?
Wewe unadhani Bila malipo Tundu Lisu angeacha Biashara yake ya Vitabu UN?Kwamba chawa kazini siyo, patakuwa pana malipo ya kutosha si bure. π€£π€£
Mie sio CHAWA wa yeyoye. Na sitaki kukuvunjia heshima maana kwa uzoefu wangu hapa jukwaani nadhani wewe utakuwa umenizidi umri na huenda na mambo mengine mengi pia. Ila najaribu tu kuwa objective kidogo. Nadhani hapa usahihi ni kulinganisha media zenye usawa au zinazokaribiana kuwa sawa. Nimeona the Chanzo TV wana Subscribers 4.14K, while Jambo TV wana Subscribers 822K (Hii ni karibia mara 200, ya wale wa The Chanzo TV)Kwahiyo kufanya comparison kati ya Katibu wa CCM na Lissu kwa muktadha wa kutumia hizo media mbili nadhani inaweza isiwe sawa sana.Angalia hapa, nimeishia kucheka tuView attachment 2507814View attachment 2507815
Wewe unadhani Bila malipo Tundu Lisu angeacha Biashara yake ya Vitabu UN?
CCM inalipa bwashee
Karibu
Lisu ana mgongo wa kuinamishwa?Kwa hiyo kwa vipesa kidogo mnainamishwa migongo, watu wanapanda juu? π€£π€£
View attachment 2508105
Lisu ana mgongo wa kuinamishwa?
Jaribu kuwa na adabu kwa viongozi wako wanaorambishwa asali!