Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Miso Misondo (kafoni) kumbe ndio alikuwa kakaimu kiti cha mama!namuombea raisi wetu mpendwa atue salama na kuendelea na majukumu yake kuinua nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miso Misondo (kafoni) kumbe ndio alikuwa kakaimu kiti cha mama!namuombea raisi wetu mpendwa atue salama na kuendelea na majukumu yake kuinua nchi
Ila mkuu wewe unadhani kati ya Watanzania milioni 60, wenye akili wanafikia milioni ngapi?Uchawa unaleta ujinga kwa wasomi, sasa tatizo kubwa zaidi ni pale chawa anapokuwa hajaenda shule kabisa!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Noma sana !Kuna msemo ya kiswahili usemao "kuchamba kwingi......"
Sasa hata sifa zikizidi hupelekea dhihaka.
Mwaka 2016 kitovu cha kupatwa kwa mwezi dunia nzima kilikuwa mkoani Njombe eneo la Wanging'ombe. Wageni mbalimbali toka pande zote za dunia walikwenda Njombe ili kuona tukio la kupatwa kwa jua na kuchukua picha zake.
Mwananchi mmoja aliposogezewa microphone na media alisikika akimshukuru sana rais Magufuli kwa tukio lile. Watu wakabakia midomo wazi kwa mshangao.
Leo huko Hanang mwancnhi mmoja baada ya kupokea msaada wa godoro amesikika akimshukuru mama Samia kwa tope lililotokea nakupelekea watu/makampuni/serikali kutoa misaada mbalimbali huko.
N.B . Siyo kila sifa ni sifa.
Siyo watanzania wote bali ni wanaccm ndiyo matope.99.99999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni matope kichwani ya Hanang
Ni empty skull.
nawewe ni mmoja wapo ama wewe sio mtanzania ni mrundi99.99999999999999999999999999999999999999% ya watanzania ni matope kichwani ya Hanang
Sexless alambe uteuzi kabisa??Wewe toka mama samia akupotezee kwenye teuzi zake umekuwa hayawani fulani
Mwanachadema mwenzio huyo. Hatushangai sana, nyumbu ndivyo walivyo.Anamshukuru Mama kwa tope?! Mbona tusi hilo 😉😁
Ķwa kweli kujiondoa akili kabisa, ubakie kichwa kitupu kabisa, ujifanye mwehu kabisa, kama anavyofanya Lucas Mwashamba, kunahitaji ujasiri wa ajabu. Ni sawa na mtu uambiwe, siku wanapocheza simba na Yanga, kabla ya mechi, wewe uende katikati ya uwanja uvue nguo zote usalie kama ulivyozaliwa! Siyo jambo rahisi, lakini kuna watu ni majasiri hasa. Fikiria mtu kama Lucas anatumia jina lake halisi, anaweka na namba yake, halafu toka mwanzo mpaka mwisho, anaandika upuuzi mtupu!!!Kuwa chawa ni lazima ujizime data, ujitoe akilj kwanza
Aisee, kumbe na wewe ni mwanaume [emoji848][emoji848][emoji848],hatari sana hiiDuh!!! mimi mwanamume,ni mwalimu ,nafundisha shule ya msingi mpigamiti wilaya ya liwale.
dah, akili zisizo za kushikiwa ni wachache sana, tena ndio wale wanaoonekana maadui wetu kisa wanatuambia ukweli.Ila mkuu wewe unadhani kati ya Watanzania milioni 60, wenye akili wanafikia milioni ngapi?
Ile 0.99999999999999999999999999 nko humonawewe ni mmoja wapo ama wewe sio mtanzania ni mrundi
Chadema ummewasaidiaje wahanga wa Hanang?Kuna msemo ya kiswahili usemao "kuchamba kwingi......"
Sasa hata sifa zikizidi hupelekea dhihaka.
Mwaka 2016 kitovu cha kupatwa kwa mwezi dunia nzima kilikuwa mkoani Njombe eneo la Wanging'ombe. Wageni mbalimbali toka pande zote za dunia walikwenda Njombe ili kuona tukio la kupatwa kwa jua na kuchukua picha zake.
Mwananchi mmoja aliposogezewa microphone na media alisikika akimshukuru sana rais Magufuli kwa tukio lile. Watu wakabakia midomo wazi kwa mshangao.
Leo huko Hanang mwancnhi mmoja baada ya kupokea msaada wa godoro amesikika akimshukuru mama Samia kwa tope lililotokea nakupelekea watu/makampuni/serikali kutoa misaada mbalimbali huko.
N.B . Siyo kila sifa ni sifa.
Wewe toka mama samia akupotezee kwenye teuzi zake umekuwa hayawani fulani
Kuweka record sawa, suala la kupatwa kwa jua 2016 liliangaliwa kimataifa wilaya ya Mbarali, mkoa wa Mbeya.Kuna msemo ya kiswahili usemao "kuchamba kwingi......"
Sasa hata sifa zikizidi hupelekea dhihaka.
Mwaka 2016 kitovu cha kupatwa kwa mwezi dunia nzima kilikuwa mkoani Njombe eneo la Wanging'ombe. Wageni mbalimbali toka pande zote za dunia walikwenda Njombe ili kuona tukio la kupatwa kwa jua na kuchukua picha zake.
Mwananchi mmoja aliposogezewa microphone na media alisikika akimshukuru sana rais Magufuli kwa tukio lile. Watu wakabakia midomo wazi kwa mshangao.
Leo huko Hanang mwancnhi mmoja baada ya kupokea msaada wa godoro amesikika akimshukuru mama Samia kwa tope lililotokea nakupelekea watu/makampuni/serikali kutoa misaada mbalimbali huko.
N.B . Siyo kila sifa ni sifa.
Too late for now !Tatizo siyo CCM wala chama chochote, tunahitaji wananchi wenye uelewa, yaani matajiri wa fikra.
Wananchi wengi wakiwa wenye akili nzuri, utawala utakuwa mzuri, umasikini utapungua kama siyo kuondoka baada ya muda na Tanzania itakuwa mahali pazuri pa kuishi.
Changamoto kubwa ni kwamba ujinga, upumbavu au kujitoa ufahamu inaelekea kuwa msingi wa siasa na hasa katika kutafuta kuchaguliwa au teuzi.
Tunatakiwa kujenga utamaduni wa kuona kwamba matumizi ya akili vizuri, kutenda na kuongea vitu venye mantiki na weledi ndiyo sifa ya msingi ya kuchaguliwa au kuteuliwa. Hivyo ndivyo tutakakavyojenga jamii na taifa imara