Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

wote ni hot garbage. Taka mbichi.
Facts!

Tanzania imeanza kupeleka wanahabari wa odhaa ya Kiswahili nje ya nchi toka uhuru. Nani alirudi anafanana na waandishi wa BBC?

Waandishi wa idhaa za Kiswahili kimsingi ni wakalimani tu, habari zote zinatengenezwa na Wazungu, kazi yao kuzitapika kama zilivyo ila kwa Kiswahili. Hawana editorial leeway. Hawawezi kujifunza chochote, wanarudi kama walivyoondoka.

Mungalieni Charles Hillary, kwa mfano. Amerudi na uweledi gani yule mwenzetu ?
 
wivu utakuua
 
anakwenda kuchukua nafasi ya udc korogwe yule dada kachaguliwa katibu wa uwt
 
Mtu bila mbavu hawezi kuishi!

Hata wakipewa mamilioni interms of pounds shida iko wapi?! Hutaki walipwe pesa hizo?! Wewe ni nani?!

Kama unaumia nenda Canada kauze supermarket miaka mitatu na wewe utengeneze pesa uache makasiriko.
 
Hana degree yule wewe.Ana diploma ya chuo cha kilimo Tangeru. Yule amalize Masters UK na aspost picha akiwa na Joho la graduation na kupost cheti chake ?
Diploma ya Kilimo aliisoma akiwa hapa kabla hajaenda Ulaya! Alijiendeleza baadae! Na hivi mnachukuliaje Salim nyie wabongo?!

Kwann mmejawa na Chuki kiasi hicho?! Kwahiyo unamuona ni lazima apost akiwa na joho na cheti apost ili iweje?! Kwani ni muhaya yule?! Yaan wabongo huwa tunafanana tabia wote! Hata mtu ukae marekani na ulaya miaka chungu tele! Chuki na vijicho huwa haviwaishi wabongo LOHH!
 
Unamaliza shule na F4, unataka akasema msemaji wa Serikali ipi?
Hata kuandika hujui... unaonesha hujielewi. Kaa hivyohivyo na ujinga wako wa kukariri.

Nani alikwambia ukipata division 4 ndo mwisho wa maisha na huwezi kufika mbali maishani we ZWAZWA?! Kaa hivyohivyo kalagabaho! Ndo nyie mtoto akipata div4 unamuona hasara

HOVYO KABISA!
 
Wengine wanalipwa kiasi gani? Huna data unapinga tu?
 
Waafrika hasa watanzania wana laana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Uchawa ni hasara tupu. Unapata furaha ya Muda tu
 
Punguza makasiriko Mzee,
Legend Hamza kasongo Je,
 
Kikeke acha uteseke, mukiwa ughaibuni munajifanya munawauliza viongozi wetu maswali ya uchochezi.
 

We muongo, nina rafiki yupo BBC kasoma SAUT au nacho kina Degree za Kimataifa (kwanza ni zipi hizo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…