HujitambuiChama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge๐๐๐
Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
Hizo Mimba mnazozitoa huwa zinawaachia laanaWewe unayejitambua umefanya nini๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Acha makasiriko๐๐๐
Halafu mtegemee siku moja Tanzania itaendelea iwe kama Dubai.
Labda itatokea baada ya miaka 2000 wakati huo wenzetu wakiwa washatuachia dunia wamecolonize other planets in other galaxies.
Tuko busy sana na mambo ambayo hayana tija kwa taifa
Kwa kweli na kama kawaida ukiendekeza mahaba, lazima utapoteza focus ya maendeleo.Zinaitwa siasa zenye mahaba
Cheo chako nnHatupoi๐๐๐