Kipenda roho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 488
- 939
Zinaitwa siasa zenye mahaba
Absolute nonsense ! Bullsh*t !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaitwa siasa zenye mahaba
Kwa nguvu mliyonayo Sasa mtatuoa tu kwa kweliWanawake unatujua wewe, yaani kabisa utake kuolewa😁😁
Usithubutuuu
Lakini mbona mkimsifia mama yenu anawapiga pini?
Yaliyowakuta kwenye sakata la Dr. Bashiru bado hamjajifunza?
Ajabu ndio mnaenda kabisa kusajili taasisi, tatizo mnaendeshwa na mdomo wa mwenyekiti wenu, badala ya kutumia akili zenu.
ExactlyTanzania tunaishi kwenye mfumo wa hovyo ambao vitu vya kijinga vimepewa sana kipaumbele
Vp ulikuwepo nini hapo [emoji1]Sio maCCM tuu
Subiri wa ubelgiji waje[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wazo zuri, hiyo ndio inaitwa "sayansi" ya siasa zetu...Aibu sana mkuu
Kwa spidi hii nawashauri kina Erythrocyte, Salary Slip, Mshana jr wajibu mapigo kwakusajili rasmi jumuiya ya chawa wa Mbowe
Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge😋😋😋
Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
Hawa watu naona wamepoteza muelekeo. Sasa ni wazi wameshachanganyikiwa. Sikutegemea lugha za kipumbavu toka kwenye Chama kikongwe kama CCM.Ni Aibu Taifa kuwa na watu wapumbavu eti Mtu Anajiita chawa , upuuzi mtupu badala kujikita kusaidia Mama wajawazito wanaojifungulia chini nyie mpo busy kupost Upumbavu kama huu fu***