Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very negative meaning attachment, placement and the fronts are very misplaced, hii nchi Ina ubazazi mwingi, imagine how dubious is CCM.
Shameful, why not kikozi kazi cha kufafanua mikakati na mafanikio ya hatua mbalimbali za kimaendeleo katika awamu ya 6.
Kwani wewe hutaki kuwa chawa wa mvaa kobazi mwenzio?Hizo Mimba mnazozitoa huwa zinawaachia laana
Usitishike na lugha iliyotumika
Hiyo ndio lugha kizazi hiki kinaielewa, wengi wa waanaopiga kura wanaelewa[emoji39] na ujue hakuna uchawa usio faida[emoji16][emoji16][emoji16]
Wale kutaka mikakati na mafanikio ya hatua mbalimbali za kimaendeleo katika awamu ya 6. ndio hawataki uchawa wala kura hawapigagi[emoji378]
Njoo chadema wewe unaonekana una akili huko upande wa pili unajidhalilisha tu.Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge[emoji39][emoji39][emoji39]
Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge😋😋😋
Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
When ignorance screams intelligence shuts up...Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge[emoji39][emoji39][emoji39]
Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee
Njoo chadema wewe unaonekana una akili huko upande wa pili unajidhalilisha tu.
Hahahaaa wazoefu wa voters wa tzUsitishike na lugha iliyotumika
Hiyo ndio lugha kizazi hiki kinaielewa, wengi wa waanaopiga kura wanaelewa😋 na ujue hakuna uchawa usio faida😁😁😁
Wale kutaka mikakati na mafanikio ya hatua mbalimbali za kimaendeleo katika awamu ya 6. ndio hawataki uchawa wala kura hawapigagi💣
Sasa itakuwaje wakati mwenyekiti wa wapinzani wetu wakuu ana imani na Mama Samia? Itabidi Mh. Polepole na Lemutuz wakatoe semina huko ufipani ili angalau wapate agenda. Haifurahishi kuwa na wapinzani dhaifu. Kwa sasa Ufipa wanaandaa tamko kuhusu sakata la Manara.
Toeni hojaNoma sana !
Tukutane Jukwaani , nyie endeleeni na uchawa wenu .Toeni hoja
Hamna jeuri ya kukodi chopa saizi mna njaa kali
Mama D jibu hoja bila makasiriko. Uchawa ushakupiga ngwalaLaana ni wewe mimba ya bar uliyegoma kutolewa ukaishia kusingiziwa baba
Pole weeeee