Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

Kweli ccm sasa inakwenda kufa hizi nidalili mbaya sana mtakuja kuniambia wakati watu wanasubiri taasisi za kuwasaidia wajane na yatima nyie mnaandaa taasisi ya machawa na upambe na kujipendekeza mmekwisha
 
Naamini ulinyimwa viti maalumu ndo maana unatuchukia my sster..pole aiseee [emoji23]

Kwa ufahamu wako sio kila mtu anataka kuwa kile unachotamani wewe
Sababu anaweza kuwa na kitu bora zaidi ya hicho unachokiona wewe kuwa bora
Jiongeze
 
Upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu mtupu.
 
Back
Top Bottom