"Chawa watu" ni watu Wachafu

"Chawa watu" ni watu Wachafu

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2023
Posts
930
Reaction score
1,304
Mdudu chawa hupatikana kwa watu wachafu, hakika kwa sasa hali sio shwari kwani chawa watu wamevamia kila sehemu. Chawa watu hawana umri ni yeyote tu anaweza kuwa chawa mtu ili mradi apate anachokitaka.

Wapo wa miaka 80 mpaka 15 ili mradi awe na uwezo wa kupaza sauti. Chawa watu wapo wenye elimu na wasio na elimu ila wenye elimu ya vyuo vikuu ndio tishio zaidi.

Chawa watu ni wa jinsia zote wake kwa waume. Chawa watu wapo watumishi wafanyabiasha wasanii wanasiasa na wasio na ajira ambao ndio tishio kwa sasa wakifuatiwa na wanasiasa na wasanii.

Hawa chawa watu wapo kwa ajili ya kutafuta mkate wa siku hivyo wapo tayari kumsifia mtu hata kwa kusema uongo ili kupotosha ukweli ili mradi maslahi yao na ya hao wanaowapigania yaweze kupatikana bila kujali mamilioni ya watanzania watakaoumia kwa maumuzi mabaya.

Chawa watu ni wadudu hatari sana.

IMG_20230210_000159_978.jpg
 
Unakuta vijana wanajua kabisa kwamba ili upate uteuzi kwasababu mamlaka na katiba imempa Rais hiyo nguvu ya kuteua kila mtu ni lazima unakuta vijana wana ile tabia ya kujipendekeza kwahiyo sasa ile Demokrasia ya kumkosoa na ya kukosoa inakuwa haipo kwa vijana."
Siasa ipo japo imebakwa na ccm na kuingiliwa na wafia chama na walafi wa madaraka wasiojitambua wapi walipotoka,walipo na wakotakiwa kwenda
 
Unakuta vijana wanajua kabisa kwamba ili upate uteuzi kwasababu mamlaka na katiba imempa Rais hiyo nguvu ya kuteua kila mtu ni lazima unakuta vijana wana ile tabia ya kujipendekeza kwahiyo sasa ile Demokrasia ya kumkosoa na ya kukosoa inakuwa haipo kwa vijana."
Siasa ipo japo imebakwa na ccm na kuingiliwa na wafia chama na walafi wa madaraka wasiojitambua wapi walipotoka,walipo na wakotakiwa kwenda
Vijana leteni mijadala yenye tija nyinyi kazi kujadili chawa!
 
Wewe si ndiye umeleta hoja ya kuletewa. Vya bure vimekumponza ndiyo maana wajuba wanakufumua
NIkwambie kitu mimi ni kuli matusi ni taaluma yangu tufungue uzi wa matusi tu sio kwenye nyuzi wa watu habith la ammary kigari kisicho na ngazi unadandiwa!
 
Back
Top Bottom