Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kumewiva
 
Zikisikia nchi inatengeneza nuclaer wanasem inatishia usalam wa dunia
Je wao wanatengenez hayo makombola ya nini???
 
This is what they say!
 
Maneno mengiii na mbwembwe pia ni zana za kivita!! yaani vitisho vitisho!!! si unaona yule kamanbda wa Sadadam hussein alivo kuwa ana tishia kwenye tv!!! aliwahi sema ''majeshi yetu na vifaa hatari viko tikriti!'' wasijaribu mtu yeyote kutembea usiku kuuuumbe huko ndo saddam Hussein kajificha kwenye handaki! na wasinge mpata bila kusalitiwa na mpishi!
 
Zikisikia nchi inatengeneza nuclaer wanasem inatishia usalam wa dunia
Je wao wanatengenez hayo makombola ya nini???
fikiria tu hizo siraha azipate mtu km Mbowe!! au mkurya mmoja hivi kule Mugumu!! hivi mtakaa salama kweli ndg zangu? semeni ukweli tu! au tuseme mtu km jiwe awe nazo mweee!! sidhani km angekufa haraka........madaraka tu akakufuru na kukufuru piga watu hovyo hovyo! tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…