Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

Mig -29 ina historia kubwa sana kwenye uwanja wa Vita na pia umeuzwa Nchi nyingi sana Duniani.mpaka Marekani wenyewe walishawai kununua Mig-29,kuifananisha F-2 na Mig-29 ni kukosa eshima kabisa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Marekani hajawahi nunua ndege ya urusi labda useme waliichukua mahali kwenda kuisoma lakin si kuhitaji kuitumia ni sawa na urusi kununua ndege za marekan au ulaya labda naye achukue mahali kwenda kuisoma tu
 
Marekani hajawahi nunua ndege ya urusi labda useme waliichukua mahali kwenda kuisoma lakin si kuhitaji kuitumia ni sawa na urusi kununua ndege za marekan au ulaya labda naye achukue mahali kwenda kuisoma tu
Ahaa ahaa unachekesha wewe.Marekani alishawahi kununua ndege nyingi tu za Urusi,wala sio jambo la siri mbina lipo wazi tu labda weww ndo ujui

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Siku ya Jumanne, Urusi ilizindua ndege yake mpya ya kivita na inayoweza kufanya misheni za kijasusi ya Sukhoi "Checkmate" katika onyesho la ndege mbele ya Rais Vladimir Putin.

Habari juu ya muundo na uwezo wa ndege hii ya kivita ya kizazi cha tano ilitolewa kwenye onyesho la anga la Max-2021 lililofanyika Zhukovsky nje ya Moscow.

Ndege hii ya kivita inachukuliwa kuwa mshindani wa ndege ya kijeshi ya Marekani yenye uwezo wa kujificha F-35 na Urusi imepanga kuiuza kwa nchi nyingi ulimwenguni.

Checkmate imetengenezwa na kampuni kubwa inayomilikiwa na serikali Rostec na Shirika la Ndege la United


"Checkmate" ni nini?

Kulingana na habari zilizopo, ndege hii ya kivita ya Checkmate ni nyepesi kuliko ndege ya injini-mbili ya Sukhoi Su-57 na inaweza kubeba makombora matano ya hewani kwa safu tofauti.

Ndege hii ina uwezo wa kuzindua droni wakati ikiwa hewani na kubeba jumla ya tani 7.5 za silaha.

Checkmate inahitaji barabara fupi sana ili kupaa au kutua hiyo inachukuliwa kuwa sifa maalum ya ndege hii.

Ndege hiyo imetengenezwa kama ndege ya kivita ya kizazi kipya yenye injini moja na utumiaji teknolojia ya kisasa inahesabiwa kati ya nguvu zake kuu.
Watengenezaji wa ndege hiyo wanasema kuwa teknolojia ya kisasa inayotumiwa katika Checkmate inafanya kazi kama rubani mwenza na itamsaidia rubani mkuu katika hali za kupigana.

Kulingana na watengezaji wa ndege hii, inaweza kupiga hadi malengo sita juu ya ardhi, hewani au baharini kwa wakati mmoja na inafanya kazi hata inapokabiliwa na usumbufu mkubwa wa kielektroniki.

Checkmate itagharimu karibu dola milioni 25 hadi 30 za Kimarekani. Baada ya majaribio ya ardhini, ndege hii itafanya safari yake ya kwanza mnamo 2023 na Urusi itaanza kuiuza kwa nchi mbali mbali kutoka 2026.

United Aircraft Corporation imesema inapanga kutengeza ndege 300 aina ya Checkmate katika kipindi cha miaka 15 ijayo. Kulingana na kampuni hiyo, idadi ya 300 imekadiriwa kwa kuzingatia mahitaji ya wateja wa ndege hii.

Watengenezaji wa Checkmate pia wanafanya kazi kutengeneza toleo la ndege hii ambalo halitahitaji rubani.





View attachment 1865036View attachment 1865037View attachment 1865038View attachment 1865040View attachment 1865041

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Hujui kabisa position ya US in Air Force military powers. Hii ni ndege cha mtoto sana mbele hata ya F-22 Raptor, achilia mbali F-35 lightning II

US is already in 6th Generation of Warplanes in action, they call it "Magic"
Ww unaongelea Checkmate, hii checkmate kwanza wameibia shape kwenye F-35

 
HA HA HA KIJANA

KIJANA KUMBE HUJUI KUNA MAKOMBORA YANAYOPITA KATI KATI YA ANGA LA JAPAN ALAFU MENGI NDIO HUANGUKIA KARIBU NA MAJI YA BAHARI YA JAPAN KWANZA KOREA CYBER UNIT WAKIAMUA KUJAMU RADA ZA KILA INA HUKO JAPAN HAWASHINDWI KUNA SIKU F 35 YA JAPAN ILIKUWA INAFANYIWA MAJARIBI LAKIN ILIVYO INGIA TU KARIBU NA MAJI YA KOREA IKAPOTEZA MAWASILIANO NA KUANGUKA HAPO HAPO
Hakuna ndege haijawahi pata ajari. Kuitumia ajari ya F-35 kwamba imeletwa na Wakorea ni sifa za kulazimisha. Mara kibao Korea imefyatua makombora na yakafeli kwahiyo nayo tuseme ni Japan kahusika au nani

Yani Korea Kaskazini iitishie Japan ambayo ina teknolojia kibao duniani. Wewe una bidhaa gani unatumia ambayo imetolewa na Korea Kaskazini. Industry zina tabia ya kutegemeana, sasa hii Korea ambayo jna obsolete airfoce ndio iipige Japan. Vita ikitokea leo hautoamini kuona launch sites zote za makombora zinaharibiwa, submarine pens zote zinapotezwa.
Kaone Six Days War ilivyopigwa watu walikuwa wanahesabu idadi ya silaha, ila hawajui adversary wao anajua silaha zao zilipo na ana silaha ndogo ila anajua pa kuanzia kuharibu silaha za adui.

Waliwahi kuwepo NAZI Germany na ukichaa wao waliamini watakapiga kanchi kadogo GB kenye eneo dogo, wanajeshi wachache na silaha chache, aulize walifika wapi. Waarabu kibao walidhani wataipiga Israel ila unajua kilichotokea
 
Nishakwambia F-2 ni copy ya F-16 na pia ni ndege ya ushirika,na hata ivyo bado haijashiriki operation yoyote ile ya kijeshi.lete taarifa za F-2 alafu mimi nilete taarifa za Mig-29M alafu tuone ipi ipo juu maana tusiongee tu.niambie kitu gani unachoona kipo juu kwenye F-2

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nani kamzuia Russia kufanya ushirika si ni kwa sababu ya terms zake ambazo sio favourable kwa washirika wake. Hujui hii Su-57 India alikuwepo kwenye program ila alijiondoa kisa ya cost overruns na kutoelewana kwa baadhi ya vitu kama technology transfer. Sasa kitendo cha Mitsubishi kulipia licence na kuchukua 60% ya bei ya ndege hizo ni cha kawaida kwenye international business, usizoee mabiashara ya Kijamaa. Huyo Russia yuko anafanya ushirika na China kutoa jetliner

Nimekutajia kill ratio za F-16 zinazidi mbali za Mig-29 sasa unataka nini kingine wakati F-2 ni more than F-16 na ni made in Japan

Taarifa za F-2 sina kwa sababu haijawahi pigana popote, kama vipi futa uzi wako maana si unataka tuzungumzie ndege zilizopigana. Kwa nini ulete Checkmate ambayo hata haijawa na powerplant. Ndege iko kwenye maonesho wala components haina

Huwezi leta taarifa za Mig-29 kwa vile haina positive kills vitani imepigwa kwa namba nyingi kuliko ilivyopiga. Utaendelea kusema "nilete taarifa za Mig.." zilete zikukatae
 
Nani kamzuia Russia kufanya ushirika si ni kwa sababu ya terms zake ambazo sio favourable kwa washirika wake. Hujui hii Su-57 India alikuwepo kwenye program ila alijiondoa kisa ya cost overruns na kutoelewana kwa baadhi ya vitu kama technology transfer. Sasa kitendo cha Mitsubishi kulipia licence na kuchukua 60% ya bei ya ndege hizo ni cha kawaida kwenye international business, usizoee mabiashara ya Kijamaa. Huyo Russia yuko anafanya ushirika na China kutoa jetliner

Nimekutajia kill ratio za F-16 zinazidi mbali za Mig-29 sasa unataka nini kingine wakati F-2 ni more than F-16 na ni made in Japan

Taarifa za F-2 sina kwa sababu haijawahi pigana popote, kama vipi futa uzi wako maana si unataka tuzungumzie ndege zilizopigana. Kwa nini ulete Checkmate ambayo hata haijawa na powerplant. Ndege iko kwenye maonesho wala components haina

Huwezi leta taarifa za Mig-29 kwa vile haina positive kills vitani imepigwa kwa namba nyingi kuliko ilivyopiga. Utaendelea kusema "nilete taarifa za Mig.." zilete zikukatae
Hata iyo kill ratio unayosema ni taarifa kutoka pakistani na Israel,wala hakuna ushahidi wowote ule wa kuonyesha Mig-29 zimetunguliwa nyingi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nani kamzuia Russia kufanya ushirika si ni kwa sababu ya terms zake ambazo sio favourable kwa washirika wake. Hujui hii Su-57 India alikuwepo kwenye program ila alijiondoa kisa ya cost overruns na kutoelewana kwa baadhi ya vitu kama technology transfer. Sasa kitendo cha Mitsubishi kulipia licence na kuchukua 60% ya bei ya ndege hizo ni cha kawaida kwenye international business, usizoee mabiashara ya Kijamaa. Huyo Russia yuko anafanya ushirika na China kutoa jetliner

Nimekutajia kill ratio za F-16 zinazidi mbali za Mig-29 sasa unataka nini kingine wakati F-2 ni more than F-16 na ni made in Japan

Taarifa za F-2 sina kwa sababu haijawahi pigana popote, kama vipi futa uzi wako maana si unataka tuzungumzie ndege zilizopigana. Kwa nini ulete Checkmate ambayo hata haijawa na powerplant. Ndege iko kwenye maonesho wala components haina

Huwezi leta taarifa za Mig-29 kwa vile haina positive kills vitani imepigwa kwa namba nyingi kuliko ilivyopiga. Utaendelea kusema "nilete taarifa za Mig.." zilete zikukatae
Mr. Mimi sipingani na F-16 ya Marekani maana ni ndege iliyofanya vizuri katika soko la ndege za kivita,nilichokupinga ni wewe kufananinsha ndege za Urusi na mataifa kama China,korea,japan.

Kwa hapa Duniani ukimtoa Urusi na Marekani wengine wanafata,wala hakuna nchi ya kubishana na Marekani na Urusi kwenye sekta ya silaha.

Iyo F-2 unayoisema wewe,watalamu wengi wanasema ni upgrade ya F-16.kwa iyo wala hakuna maajabu ya kusema kuwa wajapan wametumia nguvu nyingi



Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mig-29 walizinunua kutoka moldova mwaka 1997

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Weka data hapa huko ulikoztoa data zko wazi marekan hana ndege ya urusi hata ya kuokota wala urusi hana ndege ya marekan hata ya kuiba ila Israel aliwahi iba ndege ya urusi huko iraq kwaajili ya kuisoma na kujua udhaifu wake
 
Hakuna ndege haijawahi pata ajari. Kuitumia ajari ya F-35 kwamba imeletwa na Wakorea ni sifa za kulazimisha. Mara kibao Korea imefyatua makombora na yakafeli kwahiyo nayo tuseme ni Japan kahusika au nani

Yani Korea Kaskazini iitishie Japan ambayo ina teknolojia kibao duniani. Wewe una bidhaa gani unatumia ambayo imetolewa na Korea Kaskazini. Industry zina tabia ya kutegemeana, sasa hii Korea ambayo jna obsolete airfoce ndio iipige Japan. Vita ikitokea leo hautoamini kuona launch sites zote za makombora zinaharibiwa, submarine pens zote zinapotezwa.
Kaone Six Days War ilivyopigwa watu walikuwa wanahesabu idadi ya silaha, ila hawajui adversary wao anajua silaha zao zilipo na ana silaha ndogo ila anajua pa kuanzia kuharibu silaha za adui.

Waliwahi kuwepo NAZI Germany na ukichaa wao waliamini watakapiga kanchi kadogo GB kenye eneo dogo, wanajeshi wachache na silaha chache, aulize walifika wapi. Waarabu kibao walidhani wataipiga Israel ila unajua kilichotokea
shida lako unaizarau korea ila nakuhakikishia vita ikizuka hakuna military software yoyote itakayofanya kazi alafu kushambulia launch haimanish ndio kushinda vita kumbuka korea wana mobile road na secret silo base wakahuo korea wanauwezo wa kurusha rocket zaid ya laki tatu kwenda tokyo japan ndani ya dakika 5 kiufupi ukubali ukatae japan bado jaman wenyenye walituma nyambizi zinazoendesha na system maalum mbaya zaid nyambizi zile zilikua stili chaajaa zikawa jammed na wakore pia korea wanasatellite wanauwezo kuz detect military base zote za japan
 
Acha kuongeza maneno wapi wameandika USA kakosa usingizi kwa ndege ambayo imecopiwa kutoka kwenye ndege yake mwenyewe ya f35...hiyo ndege ni mapema kuisifia kwa sababu hakuna sehemu imeshawahi kuingia mzigoni wala parformance yake kiuhalisia haijajulikana kwa maana ya kuingia vitani lakini ndege zote zinasosifiwa leo duniani zipo mzigoni na zimepimwa kwa kazi vitani kuanzia f22 mpaka f35 lakini hiyo ya mrusi imeingia vitani wapi? Punguza mahaba mkuu ndege vita inapimwa kwenye uwanja wa mapambano sio showroom
Showroom [emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom