Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

Hata iyo kill ratio unayosema ni taarifa kutoka pakistani na Israel,wala hakuna ushahidi wowote ule wa kuonyesha Mig-29 zimetunguliwa nyingi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sasa ulitaka atoe taarifa nani wakati walioshiriki vitani ndio wana hizo taarifa, na hapo tunahesabu confirmed kills tu. Huwezi taja any incident ambapo enemy jet iliingia kwenye mji wa Israel ikashambulia labda nisijue Golan heights ambako sio eneo la Israel waliiba. Ni kwa sababu IAF ilikuwa inazikabili zikiwemo Mig-29 na inazifuata kwao. Kwa Pakistan walipigwa nazo ila kwa kuzitumia walifanya vizuri ingawa mafunzo mabovu, wangekuwa na mafunzo mazuri zingewasaidia mno
 
Mr. Mimi sipingani na F-16 ya Marekani maana ni ndege iliyofanya vizuri katika soko la ndege za kivita,nilichokupinga ni wewe kufananinsha ndege za Urusi na mataifa kama China,korea,japan.

Kwa hapa Duniani ukimtoa Urusi na Marekani wengine wanafata,wala hakuna nchi ya kubishana na Marekani na Urusi kwenye sekta ya silaha.

Iyo F-2 unayoisema wewe,watalamu wengi wanasema ni upgrade ya F-16.kwa iyo wala hakuna maajabu ya kusema kuwa wajapan wametumia nguvu nyingi



Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu tunachobishana tangu jana ni kitu kidogo sana. CHECKMATE sio ndege ya kuikosesha Marekani usingizi, pia sio ndege ya kuleta maajabu karne hii ya 21 ikitokea Tempest ya UK ikaja, ikaja 5th gen ya Korea, ikaja 5th gen ya Japan. Warusi nishasema hawajaitoa hii kwa ajili yao, wameitoa kibishara zaidi hivo hailazimiki iwe the best. Tungekuwa tunaisema Su-57 hapo tusingeongea hii lugha.

Urusi badala ya kutoa ndege specific kwa ajili yao kisha wakatoa export version, wamekuja na idea ya ndege ya kuuza then kutumia ni lengo la mwisho
 
shida lako unaizarau korea ila nakuhakikishia vita ikizuka hakuna military software yoyote itakayofanya kazi alafu kushambulia launch haimanish ndio kushinda vita kumbuka korea wana mobile road na secret silo base wakahuo korea wanauwezo wa kurusha rocket zaid ya laki tatu kwenda tokyo japan ndani ya dakika 5 kiufupi ukubali ukatae japan bado jaman wenyenye walituma nyambizi zinazoendesha na system maalum mbaya zaid nyambizi zile zilikua stili chaajaa zikawa jammed na wakore pia korea wanasatellite wanauwezo kuz detect military base zote za japan
Ngoja nikwambie sasa, Japan wanatrack kila launch ya nuke pale Korea ili kutoa alert. Preparations za launching of any missile in Korean land zinakuwa detected na Japan na inayo THAAD defense system kumonitor projection ya makombora na kufanya interception kama yakija kwao. Hizo missiles za Korea hazina speed hiyo ya kutishia kutokuwa intercepted kwenye initial stages. Korea ana option ya kufanya first strike, baada ya hapo hatoamini anachokiona.

Wajapan sio wazembe huwezi linganisha nchi iliyoteka Asia nzima kuanzia Korea zote, China, Philippines, Malaya, Vietnam mpaka wapi uko afu wewe uilinganishe na Korea yenye utapiamlo.

Japan wanajua hata baadhi ya mienendo ya Kim Jong Un. Korea haina air defense system yoyote yani ikitokea vita ndege za Japan zitakuwa zinalala kwenye anga la Korea na hakuna kitu watafanya. Ikitokea vita wakapigwa hizo subs pens na bases zote, launch pads zikapigwa wakabaki na mobile launchers ambazo zinakuwa tracked kwa satellite watafanya nini. Watabaki na artillery pieces mipakani ambazo zinahitaji replenishment ya ammunition, ammo ikiisha wanaisafirishaje. Aisee!
 
Ngoja nikwambie sasa, Japan wanatrack kila launch ya nuke pale Korea ili kutoa alert. Preparations za launching of any missile in Korean land zinakuwa detected na Japan na inayo THAAD defense system kumonitor projection ya makombora na kufanya interception kama yakija kwao. Hizo missiles za Korea hazina speed hiyo ya kutishia kutokuwa intercepted kwenye initial stages. Korea ana option ya kufanya first strike, baada ya hapo hatoamini anachokiona.

Wajapan sio wazembe huwezi linganisha nchi iliyoteka Asia nzima kuanzia Korea zote, China, Philippines, Malaya, Vietnam mpaka wapi uko afu wewe uilinganishe na Korea yenye utapiamlo.

Japan wanajua hata baadhi ya mienendo ya Kim Jong Un. Korea haina air defense system yoyote yani ikitokea vita ndege za Japan zitakuwa zinalala kwenye anga la Korea na hakuna kitu watafanya. Ikitokea vita wakapigwa hizo subs pens na bases zote, launch pads zikapigwa wakabaki na mobile launchers ambazo zinakuwa tracked kwa satellite watafanya nini. Watabaki na artillery pieces mipakani ambazo zinahitaji replenishment ya ammunition, ammo ikiisha wanaisafirishaje. Aisee!
ongeza na mrusi aliwahi kula kichapo kutoka kwa japan maana jamaa haelewi.
 
Mkuu tunachobishana tangu jana ni kitu kidogo sana. CHECKMATE sio ndege ya kuikosesha Marekani usingizi, pia sio ndege ya kuleta maajabu karne hii ya 21 ikitokea Tempest ya UK ikaja, ikaja 5th gen ya Korea, ikaja 5th gen ya Japan. Warusi nishasema hawajaitoa hii kwa ajili yao, wameitoa kibishara zaidi hivo hailazimiki iwe the best. Tungekuwa tunaisema Su-57 hapo tusingeongea hii lugha.

Urusi badala ya kutoa ndege specific kwa ajili yao kisha wakatoa export version, wamekuja na idea ya ndege ya kuuza then kutumia ni lengo la mwisho
Na mimi hayo maneno sijasema mimi.ni kutoka BBC swahili.mi nimefikisha kama ilivyo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
ongeza na mrusi aliwahi kula kichapo kutoka kwa japan maana jamaa haelewi.
Walitoka suruhu, Marekani ndio ilisuruhisha kipindi kile ilikuwa inaitaka sana Urusi iwe stable ili kuidhibiti Ujerumani. Urusi silaha zote muhimu zilikuwa Western part hivo initially Japan alishinda battle ila baadae war ingeisha kwa ushindi wa Urusi.
 
Asia pa moto ni kama Middle East. Tofauti ni kwamba Middle East kuna giants wawili Iran na Israel wengine ni wacheza ngoma inayopigwa, ila Asia-Pacific hasa Southern China sea kuna migogoro ya wakubwa mingi baina ya China vs Japan, China vs India, China vs Philippines, North Korea (DPRK) vs South Korea (ROK), China mainland (PRC) vs China ya uhamishoni (Taiwan). Pia Japan ana claims kwenye visiwa vya Kuril vya Russia. Australia nayo inajaribu kujiingiza kuitia pressure China. Marekani ndio kabisa ana bases kadhaa kuzunguka pale

Hao wagomvi wote wana uwezo wa kutengeneza silaha na wana uchumi mzuri. Silaha ambazo ni advanced sana ndio wananunua au wana-licence produce. Alafu migogoro yao sio ya kijinga kama Middle East walivyo: ukitazama Saudi Arabia vs Qatar ni wivu, Iran vs Israel ni dini, wengineo wanaburuzwa na idea ya kuiondoa Israel wamebaki nayo Wapalestina na Iran tu.
Kule Asia kila nchi inapigania mipaka yake, huu ni ugomvi mkubwa sio masihara
Mbona hawapigani mkuu, tukaona uwezo wa hayo madege yao.

Si ni hasara kua unanunua madege na mavifaa vita kila leo lakini huyatumii yako ndani tuu. Daah nchi ikiwa vizuri kiuchumi viongozi wanapata tabu sana.
 
Ila mwanadamu ni kiumbe mtata sana, zana za kivita na madege ya hatare yanatengenezwa ili tu kumdhibiti mwanadamu.
Na wasio penda kutoka madarakani ndio wanaifurahi sana utashangaa nchi maskini itaziagiza hii yote ni kwaajili ya kuto kutaka kutoka madarakani.
 
Ngoja nikwambie sasa, Japan wanatrack kila launch ya nuke pale Korea ili kutoa alert. Preparations za launching of any missile in Korean land zinakuwa detected na Japan na inayo THAAD defense system kumonitor projection ya makombora na kufanya interception kama yakija kwao. Hizo missiles za Korea hazina speed hiyo ya kutishia kutokuwa intercepted kwenye initial stages. Korea ana option ya kufanya first strike, baada ya hapo hatoamini anachokiona.

Wajapan sio wazembe huwezi linganisha nchi iliyoteka Asia nzima kuanzia Korea zote, China, Philippines, Malaya, Vietnam mpaka wapi uko afu wewe uilinganishe na Korea yenye utapiamlo.

Japan wanajua hata baadhi ya mienendo ya Kim Jong Un. Korea haina air defense system yoyote yani ikitokea vita ndege za Japan zitakuwa zinalala kwenye anga la Korea na hakuna kitu watafanya. Ikitokea vita wakapigwa hizo subs pens na bases zote, launch pads zikapigwa wakabaki na mobile launchers ambazo zinakuwa tracked kwa satellite watafanya nini. Watabaki na artillery pieces mipakani ambazo zinahitaji replenishment ya ammunition, ammo ikiisha wanaisafirishaje. Aisee!
s 300 in korea korea syper wamejazana japan kama uchafu ndani ya dakika tatu japan inarudi zama za mawe .japan hata kuhack vinu vya nuke vya korea hawawez
ParkPatriot2015part8-21.jpg.jpeg
 
Sasa ulitaka atoe taarifa nani wakati walioshiriki vitani ndio wana hizo taarifa, na hapo tunahesabu confirmed kills tu. Huwezi taja any incident ambapo enemy jet iliingia kwenye mji wa Israel ikashambulia labda nisijue Golan heights ambako sio eneo la Israel waliiba. Ni kwa sababu IAF ilikuwa inazikabili zikiwemo Mig-29 na inazifuata kwao. Kwa Pakistan walipigwa nazo ila kwa kuzitumia walifanya vizuri ingawa mafunzo mabovu, wangekuwa na mafunzo mazuri zingewasaidia mno
Pakistan anasema katungua idadi flani,ukirudi kwa india anasema vingine.na ukienda kwa israel anachosema ni tofauti na wanachosema Syria.uwezi ukapata ukweli kamili maana kila mmoja anavutia kwake,kwa iyo zinabaki kuwa habari za kusadikika tu kwa maana ushahidi kamili hautatolewa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nikwambie sasa, Japan wanatrack kila launch ya nuke pale Korea ili kutoa alert. Preparations za launching of any missile in Korean land zinakuwa detected na Japan na inayo THAAD defense system kumonitor projection ya makombora na kufanya interception kama yakija kwao. Hizo missiles za Korea hazina speed hiyo ya kutishia kutokuwa intercepted kwenye initial stages. Korea ana option ya kufanya first strike, baada ya hapo hatoamini anachokiona.

Wajapan sio wazembe huwezi linganisha nchi iliyoteka Asia nzima kuanzia Korea zote, China, Philippines, Malaya, Vietnam mpaka wapi uko afu wewe uilinganishe na Korea yenye utapiamlo.

Japan wanajua hata baadhi ya mienendo ya Kim Jong Un. Korea haina air defense system yoyote yani ikitokea vita ndege za Japan zitakuwa zinalala kwenye anga la Korea na hakuna kitu watafanya. Ikitokea vita wakapigwa hizo subs pens na bases zote, launch pads zikapigwa wakabaki na mobile launchers ambazo zinakuwa tracked kwa satellite watafanya nini. Watabaki na artillery pieces mipakani ambazo zinahitaji replenishment ya ammunition, ammo ikiisha wanaisafirishaje. Aisee!
Iyo ni japan ya kwenye historia,sio Japan hii

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri imetengenezwa kwa ajili ya export tu,hata jeshi la Urusi hawataitumia labda uko baadae sana.Ndio maana hata gharama yake ni $25M per unit.Ndege stealth ya kisasa yenye kila kitu huwezi tengeneza kwa bei hiyo,mfoano Unit cost ya Su-57 stealth ni around $100M,hapo unaona ilivyo gharama kutengeneza real stealth plane.
Hiyo ni export tu,kwa zile nchi ambazo haziwezi udu gharama za real stealth fighters.
 
Cha mtoto haina uwezo wa kushambulia kitu chochote hiyo ndge.

Ila wanataka kuwapiga waarabu hela kmwakiingia kichwa kichwa!!
Ikijidai kushambulia Usa itavutwa na radar za satelitttes maalum.iliyoko anga za juu. Kamwe haitarudi wala mabaki yake kuonekana.
 
Sizani kama inaifikia ile mpya ya bibi yangu Mwakaleli,ni kufumba na kufumbua mmefika,na inaweza beba radi mpaka tani 21.
 
Mbona hawapigani mkuu, tukaona uwezo wa hayo madege yao.

Si ni hasara kua unanunua madege na mavifaa vita kila leo lakini huyatumii yako ndani tuu. Daah nchi ikiwa vizuri kiuchumi viongozi wanapata tabu sana.
Hata wao hawataki kabisa wapigane. Marekani ina submarines za nuclear armageddon zinazurura baharini ila Marekani yenyewe unasema ushindi mkubwa wa hizo subs ni kutopigana. Uingereza deni la WW2 iliyoisha 1945 ililipa mpaka 1997 tena ilikosa mwaka mmoja tu alafu mkopo wenyewe rahisi mno. Sasa nani umletee vita akuelewe leo, Trump alikwepa lawama kupigana na Iran sembuse kupigana na China au Russia
 
s 300 in korea korea syper wamejazana japan kama uchafu ndani ya dakika tatu japan inarudi zama za mawe .japan hata kuhack vinu vya nuke vya korea hawawezView attachment 1868555
Ulishawahi on a ndege ya Israel imedondoshwa kule Syria? Na S-200 systems zipo na Israel inatumia F-16. Sasa F-2 ikitumika ingawa haiko advanced zaidi ya derivative ya Israel (Wayahudi ukiwauzia silaha yoyote ile lazima waichokonoe kuongeza baadhi ya vitu) ila kwa hiyo S-300 uliyoweka hapo sijawahi iona. Mi najua S-300 yenye canisters 4 zilizoko kwenye TEL. Sasa hii ndogo ni iko kwenye tracked chassis kama Tungushka
 
Back
Top Bottom