Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

Checkmate: Ndege mpya ya kivita ya Urusi inayoikosesha Marekani usingizi

Ni kweli hiyo Checkmate haijajaribiwa popote ili kufahamu uthabiti wake. Siku hizi warusi wamekuwa watu wa mikwara sana.

Kuna kipindi miaka kadhaa nyuma walikuja na fix moja kali sana kwamba wamevumbua kombora moja isiyofuata "Trajectory"..!!! Kwamba ina uwezo wa kupiga piga kona hadi kwenda kupiga target...!!!
heat seeking missiles zipo pia,
 
Asia pa moto ni kama Middle East. Tofauti ni kwamba Middle East kuna giants wawili Iran na Israel wengine ni wacheza ngoma inayopigwa, ila Asia-Pacific hasa Southern China sea kuna migogoro ya wakubwa mingi baina ya China vs Japan, China vs India, China vs Philippines, North Korea (DPRK) vs South Korea (ROK), China mainland (PRC) vs China ya uhamishoni (Taiwan). Pia Japan ana claims kwenye visiwa vya Kuril vya Russia. Australia nayo inajaribu kujiingiza kuitia pressure China. Marekani ndio kabisa ana bases kadhaa kuzunguka pale

Hao wagomvi wote wana uwezo wa kutengeneza silaha na wana uchumi mzuri. Silaha ambazo ni advanced sana ndio wananunua au wana-licence produce. Alafu migogoro yao sio ya kijinga kama Middle East walivyo: ukitazama Saudi Arabia vs Qatar ni wivu, Iran vs Israel ni dini, wengineo wanaburuzwa na idea ya kuiondoa Israel wamebaki nayo Wapalestina na Iran tu.
Kule Asia kila nchi inapigania mipaka yake, huu ni ugomvi mkubwa sio masihara
Well put!

Lakini mimi huwa naona Giant wa Middle East ni Iran na Saudi. Ukiangalia kila kinachoendelea ikiwemo migogoro, ni Iran na Saudi ndio wanaoiamua ni kama Cold War. And Qatar, huwezi sema ni wivu, ni power struggle. Qatar ni mfadhili wa vikundi hasimu kwa Saudi mfano Hamas na Muslim Brotherhood, na ni partner wa uturuki na Iran, and mbaya zaidi yuko mpakani kwake. So, sio wivu ni a real threat kwa saudi kwenye mission yake ya kuitawala Gulf region.
 
Mindege mipya kila siku inatengenezwa tu, chaajabu vita hamna. Waache woga huo wafanye mambo mengine tu
 
Mindege mipya kila siku inatengenezwa tu, chaajabu vita hamna. Waache woga huo wafanye mambo mengine tu
Wanatengeneza kwa ajili ya tahadhari wewe ina maana kwako unakaa bila hata karungu kisa hujawahi kuvamiwa?
 
Japan ana silaha nyingi za maana kuliko unavyodhania. Japan ina diesel submarines zinazotumia Air-Independent Propulsion system na ni nchi chache sana duniani zinajua kutengeneza hizi. Sweden ndio mgunduzi wa hii system na kaiweka kwenye subs zake za Gotland

Japan ina Type 10 main battle tank. Duniani ukiniuliza ni kifaru gani kiko optimized kwa matumizi naitaja Type 10 ikifuatiwa na Black Panther MBT ya S. Korea iliyoyengenezwa na Samsung. Hawa ukiwafuata kwenye ardhi yao ukaenda na vifaru vyako wanakupiga navyo wala huwashindi

Wote wana frigates za kisasa na pia wana modern amphibious assault ships wakati Russia mwaka 2014 alivunjiwa mkataba na France kuuziwa meli za Mistral, ziliuzwa kwa Misri yuko analinga nazo. Kwahiyo Russia HAWEZI sasahivi kutengeneza meli za kubeba helicopter kuzidi uwezo wa Japan au S. Korea

Japan sio mara yake ya kwanza kutengeneza ndege. Kwa sasa wana F-2 inayotengenezwa na Mitsubishi, ni derivative ya F-16. Wamehusika pia kwenye F-35 project na wanazo.

Checkmate haijaundwa kuwa air superiority fighter wala air dominant. Ipo kama mbadala wa stealth nyingine na hata Russian Airforce hawakutoa configuration kuwa iwe hivi, wao hawajui itakuwaje kwa hiyo sio kwa ajili yao. Na tender ya kuitengeneza hawajatoa hivo usidhani itakuwa ya maajabu, ila watatoa order ya units kadhaa. Naifananisha na China ilivyotoa J-17 ikaiachia Pakistan ifanye licence production

Japan na ROK wanaunda mlinzi wa anga lao kwa miaka ijayo. Russia anaunda bidhaa ya kuuza ndio lengo kuu na kukaa nayo kama subsidiary, anazo Sukhoi na MiG nyingi za kumlinda
japan hii hii mig 29 za korea kaskazini zinapiga misele kwenye anga la kijapani?
 
Japanese F-2 ni sawa na F-16 ya Marekani zina tofauti kidogo. Japan ndio nchi ya kwanza duniani kuweka AESA radar kwenye fighter jet. F-16 ina kill/loss ratio kubwa almost 5:1 kuliko Mig-29 ya Russia yenye almost 1:1 vitani zilikoshiriki. Ingawa hii ratio hutegemea pia uwezo binafsi wa marubani na mafunzo yao

Kwahiyo Japanese F-2 inaizidi Russian Mig-29
F-2 ni copy ya F-16 na ndo maana watengenezaji ni Wamarekani(lockeed martin) na wajapan(Mitsubishi.sasa hapo kuna maajabu gani ndugu?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Japanese F-2 ni sawa na F-16 ya Marekani zina tofauti kidogo. Japan ndio nchi ya kwanza duniani kuweka AESA radar kwenye fighter jet. F-16 ina kill/loss ratio kubwa almost 5:1 kuliko Mig-29 ya Russia yenye almost 1:1 vitani zilikoshiriki. Ingawa hii ratio hutegemea pia uwezo binafsi wa marubani na mafunzo yao

Kwahiyo Japanese F-2 inaizidi Russian Mig-29
Iyo F-2 uwezi ukaifananisha na mig-29 hata siku moja.ni chizi pekee atayeweza kufananisha F-2 na mig-29.ndo kwanza nakusikia wewe.kwanza iyo F-2 imeshiriki vita gani?
Screenshot_20210725-115554.jpg


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
japan hii hii mig 29 za korea kaskazini zinapiga misele kwenye anga la kijapani?
Korea Kaskazini haina ubavu wa kupeleka kopo lake lolote kwenye anga la Japan. Hawajawa serious kiasi hicho, tena ndege zao hazina upgrade, yani wao Mig-29 ndio za kulingia wakati Japan ina F-35. Na hata wakipeleka kwenye anga la Japan watarudishwa.

Leta evidence za unachokisema
 
Japanese F-2 ni sawa na F-16 ya Marekani zina tofauti kidogo. Japan ndio nchi ya kwanza duniani kuweka AESA radar kwenye fighter jet. F-16 ina kill/loss ratio kubwa almost 5:1 kuliko Mig-29 ya Russia yenye almost 1:1 vitani zilikoshiriki. Ingawa hii ratio hutegemea pia uwezo binafsi wa marubani na mafunzo yao

Kwahiyo Japanese F-2 inaizidi Russian Mig-29
Mig -29 ina historia kubwa sana kwenye uwanja wa Vita na pia umeuzwa Nchi nyingi sana Duniani.mpaka Marekani wenyewe walishawai kununua Mig-29,kuifananisha F-2 na Mig-29 ni kukosa eshima kabisa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
F-2 ni copy ya F-16 na ndo maana watengenezaji ni Wamarekani(lockeed martin) na wajapan(Mitsubishi.sasa hapo kuna maajabu gani ndugu?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mimi sisemi maajabu bali uwezo. Swali lako lilitaka ndege ya Japan yenye uwezo kuzidi ndege yeyote ya Russia.

Kwa hoja yako hii tuifananishe na case ya Su-30MKI ya India na Su-30MKK ambazo ni licence production za Su-30 ya Russia. Hizi zilikuwa jointly manufactured ila zilipofanya vizuri Russia wakazitumia kutoa derivative ya Su-30SM. Now huwezi sema MKI au MKK hazina maajabu wakati zinaipiga Su-30 early version.

Na kama unaona joint production haina maajabu ujue Eurofighter Typhoon imetengenezwa kwa consortium. Hata F-35 kuna mikono ya nchi zaidi ya tano

Hiyo F-2 unayoona haina maajabu inatumia makombora ya Japan, mabomu ya Japan, radar ya Japan tena ikiwa AESA ya kwanza duniani kwenye fighter jet. Iko optimized na modified kwa ajili yao
 
Iyo F-2 uwezi ukaifananisha na mig-29 hata siku moja.ni chizi pekee atayeweza kufananisha F-2 na mig-29.ndo kwanza nakusikia wewe.kwanza iyo F-2 imeshiriki vita gani?View attachment 1867542

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hapa hakuna hoja naona mipasho. Kama mimi ni chizi ninayezungumzia F-2 ambayo iko operational tangu mwaka 2000, wewe ni tahahira kabisa unayezungumzia Checkmate ambayo iko kwenye 'show room'. Haina injini, wala radar na haijawahi fanya testing ya kwanza kabisa ya ndege, taxiing. Ina 0 operational hours.

Mimi nimezungumzia kijana ambaye hajaanza kusaidia wazazi wake. Wewe unazungumzia mimba

F-16 ina kill ratio ya 92:13 wakati Mig-29 ina 18:21. Yaani vitani Mig-29 zimekufa nyingi kuliko zilivyoua, hii inachangiwa na marubani wake wabovu na uwezo wake pia. Now, Japanese F-2 iko comparable na F-16, muulize mtoto wa la kwanza hapa Mig-29 na F-2 zikikutana nani atashinda provided that everything is constant
 
Mig -29 ina historia kubwa sana kwenye uwanja wa Vita na pia umeuzwa Nchi nyingi sana Duniani.mpaka Marekani wenyewe walishawai kununua Mig-29,kuifananisha F-2 na Mig-29 ni kukosa eshima kabisa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ina historia kubwa na naipa heshima yake. Mbona Mig-21 Fishbed ina historia kubwa zaidi, kwamba ndio itakuwa na uwezo kuliko za sasa?
Mmarekani ana Tomcats, Sabre na nyingine zenye historia. Utasema zina uwezo kuliko nyingine?

Kwenye hiyo historia unayosema tafuta kill ratio yake uilete hapa
 
Korea Kaskazini haina ubavu wa kupeleka kopo lake lolote kwenye anga la Japan. Hawajawa serious kiasi hicho, tena ndege zao hazina upgrade, yani wao Mig-29 ndio za kulingia wakati Japan ina F-35. Na hata wakipeleka kwenye anga la Japan watarudishwa.

Leta evidence za unachokisema
KOPOO!!! VIPI KUHUSU MAKOMBORA YANAYOPITAGA JUU YA ANGA LA JAPAN ?
 
KOPOO!!! VIPI KUHUSU MAKOMBORA YANAYOPITAGA JUU YA ANGA LA JAPAN ?
Kupitisha kombora kwenye territorial water nalo ni jambo la kustaajabisha. Kwanza kule hata air defense system hazipalindi, nani alinde maji ya bahari dhidi ya kombora. Japan wana mpaka mkubwa wa majini, ni vigumu Korea kufyatua kombora na lisipite kwenye bahari sasa litaenda wapi ili lifanyiwe testing.
Siku Korea wakipitisha kombora lao kwenye ardhi ya Japan ndio tuone ukorofi wao
 
Hapa hakuna hoja naona mipasho. Kama mimi ni chizi ninayezungumzia F-2 ambayo iko operational tangu mwaka 2000, wewe ni tahahira kabisa unayezungumzia Checkmate ambayo iko kwenye 'show room'. Haina injini, wala radar na haijawahi fanya testing ya kwanza kabisa ya ndege, taxiing. Ina 0 operational hours.

Mimi nimezungumzia kijana ambaye hajaanza kusaidia wazazi wake. Wewe unazungumzia mimba

F-16 ina kill ratio ya 92:13 wakati Mig-29 ina 18:21. Yaani vitani Mig-29 zimekufa nyingi kuliko zilivyoua, hii inachangiwa na marubani wake wabovu na uwezo wake pia. Now, Japanese F-2 iko comparable na F-16, muulize mtoto wa la kwanza hapa Mig-29 na F-2 zikikutana nani atashinda provided that everything is constant
Nishakwambia F-2 ni copy ya F-16 na pia ni ndege ya ushirika,na hata ivyo bado haijashiriki operation yoyote ile ya kijeshi.lete taarifa za F-2 alafu mimi nilete taarifa za Mig-29M alafu tuone ipi ipo juu maana tusiongee tu.niambie kitu gani unachoona kipo juu kwenye F-2

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mimi sisemi maajabu bali uwezo. Swali lako lilitaka ndege ya Japan yenye uwezo kuzidi ndege yeyote ya Russia.

Kwa hoja yako hii tuifananishe na case ya Su-30MKI ya India na Su-30MKK ambazo ni licence production za Su-30 ya Russia. Hizi zilikuwa jointly manufactured ila zilipofanya vizuri Russia wakazitumia kutoa derivative ya Su-30SM. Now huwezi sema MKI au MKK hazina maajabu wakati zinaipiga Su-30 early version.

Na kama unaona joint production haina maajabu ujue Eurofighter Typhoon imetengenezwa kwa consortium. Hata F-35 kuna mikono ya nchi zaidi ya tano

Hiyo F-2 unayoona haina maajabu inatumia makombora ya Japan, mabomu ya Japan, radar ya Japan tena ikiwa AESA ya kwanza duniani kwenye fighter jet. Iko optimized na modified kwa ajili yao
Sasa umeniletea ndege ya Japan au ndege ya ushirika?.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
HA HA HA KIJANA
Kupitisha kombora kwenye territorial water nalo ni jambo la kustaajabisha. Kwanza kule hata air defense system hazipalindi, nani alinde maji ya bahari dhidi ya kombora. Japan wana mpaka mkubwa wa majini, ni vigumu Korea kufyatua kombora na lisipite kwenye bahari sasa litaenda wapi ili lifanyiwe testing.
Siku Korea wakipitisha kombora lao kwenye ardhi ya Japan ndio tuone ukorofi wao
KIJANA KUMBE HUJUI KUNA MAKOMBORA YANAYOPITA KATI KATI YA ANGA LA JAPAN ALAFU MENGI NDIO HUANGUKIA KARIBU NA MAJI YA BAHARI YA JAPAN KWANZA KOREA CYBER UNIT WAKIAMUA KUJAMU RADA ZA KILA INA HUKO JAPAN HAWASHINDWI KUNA SIKU F 35 YA JAPAN ILIKUWA INAFANYIWA MAJARIBI LAKIN ILIVYO INGIA TU KARIBU NA MAJI YA KOREA IKAPOTEZA MAWASILIANO NA KUANGUKA HAPO HAPO
 
Back
Top Bottom