Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

Haters at work muachen masanja kama kafulia si yeye mbona wengi wetu saiv uchumi umeyumba
 
Mamvi aliposema Elimu,Elimu,Elimu tulidhani anatania sio?
 
Masanja kakuuza na wewe ukaingia mkenge[emoji23]
 
Nahisi wewe ndo ujaelewa alichokipost masanja..
 
Mkuu huenda wewe ndo umeshindwa kuelewa hapo. Ikiwa ni semina ya namna ya kutunza fedha na kiingilio ni laki ni bora ukaacha kwenda ili uanze kuitunza hiyo fedha practically.
 
TEna kile kidemu chake nakiona kijanja kijanja sana,nahisi wamesoma shule moja na wema sepenga
 
Sidhani kama ni kweli,, mtoa mada umejiongeza kupita kiasi
 
MTU anasoma ili aje kupata maisha mazuri kama tunavyohubiriana,sasa anapokuja kuona mtu hajasoma halafu ana maisha mazuri ndipo chuki zinapoanza.
 
Mzee unaweza kujuaje kama mtu amefulia au una access na account zake au mali zake!? Kama sivyo ujue taratibu unaanza kuwa mchawi
 
Mkuuuu utakuwa umekurupuka aisee kwa kumkashifu masanja ,mbona me naona hii ni jokes et, umeelewa vibaya kajipange upya, soma vizuri utaelewa kwenye hiyo picha
 
Utakuwa na shida naye sio bure.
Mwenzako anahangaika we unadhani kuwa na ela ni kuwa na mihotel mikubwa mikubwa tu.
Miradi midogo midogo kama migahawa, kuku, kilimo, boda boda n.k ukijumulisha mapato yake mwisho wa siku ndiyo mtu anaanzisha mradi mkubwa.
No wonder watu wenye mawazo kuwa mtu kufungua mgahawa mdogo kafulia utakuta hawaendelei.
 
mkuu hebu soma mpaka mwisho anachokimaanisha Masanja sicho unachotaka ku-potray hapa.

kupitia bandiko lako hili nimejifunza kitu,
"Watanzania wanapenda maendeleo lakini hawawapendi watu wenye maendeleo" By Justine Nyari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…